Mwanaume unashindwaje kumaliza sahani ya wali?

Mwanaume unashindwaje kumaliza sahani ya wali?

Nyani Ngabu Wewe Ni Wa Kishua Pande Za Obama Haya Mambo Huyawezi. Huku Uswazi Kwa Mama Ntilie Kuna Hadi Chakula Cha Sh 1,500/= Wali Maharage

kuna wali wa buku tu kw mama kifusi;waliokaa mabbo hostel wanajua hilo
 
Mwanaume anasifiwa kazi si kula..Huyo anaekula kidogo(normal) anaweza kuwa anapiga mzigo vizuri nakumfikisha kileleni kuliko wewe unaye kula kitoto ndoo na dumu la maji then unaenda kupiga mzigo bao moja tu huko hoi na umelala kama umekufa kwasababu umeshiba mno(Too much is harmful)..

Wewe kula kama kesho kuna njaa unajishindilia chakula mwishoe kitambi kama gunia la mahindi kilo 100 alfu ulete thread yako kuwa mke hanitaki kumbe ni hicho kitambi yani hauwezi kumfikisha kunako..Alfu huyo anaye kula kidogo(normal) anakupigia mkeo mpaka kunako...
 
Chakula inatakiwa kiheshimiwe sana kwa wale ambao kama unaona huwezi maliza jitahidi uwaambie wakuwekee kwenye sahani yako kiasi chako.

Au kabla ya kuanza kula kama huna uhakika kuwa utamaliza chakula chako omba sahani ya ziada uwe unapunguza kidogo kidogo kisha kitakachobaki ambacho hakijaguswa mpe mtu ambae atakaekihitaji.

Au kama mko pamoja kila mtu anajipakulia jitahidi uweke kidogo kidogo ni bora kurudia hata mara tano kidogo kidogo kuliko kuweka kingi kisha haukimalizi kinaishia kutupwa, haipendezi.

Si vizuri kuacha chakula kisha kinaenda tupwa, kumbuka kuna mwenzako kama wewe hajapata hata rakaa moja
 
inategemea na kipimo, kuna mmama mmoja pale tiptop huuza waki jioni yupo na bonge mmoja hivi, pale nilikuwa napiga wali wa 1500 basi inatosha,wa 2000 simalizi really nakuwa nimeshiba. lakini pia ni hali tu mtu alivyo maana kuna dogo langu chakula ninachokula ye anakula mara mbili yake au zaidi...
na pia inategemea mtu anavyopenda hicho chakula, mfano huyo dogo hupenda mikate so kula slice 9 kwake kawaida wakati mi hizo ntakula asubuhi mpaka jioni coz sipendi vyakula vya ngano hasa mikate.
 
Labda mimi ni mlafi au mshamba, ila sijawahi kubakisha hata tonge moja la chakula cha Sh 2,000/= - 3,000/= cha kupimiwa kwenye sahani. Sasa napata maswali mengi na wakati mgumu ninapomuona mwanaume anashindwa kumaliza wali au ugali na wengine hata chipsi mayai hubakisha kiasi.

Hivi ni kwa nini? Au ndio ameshiba? Au ana haraka?

Ataweza kazi za kiume huyu za kufikisha watu kileleni kweli?

Labda wali una amira kavimbiwa huyo.
 
Labda mimi ni mlafi au mshamba, ila sijawahi kubakisha hata tonge moja la chakula cha Sh 2,000/= - 3,000/= cha kupimiwa kwenye sahani. Sasa napata maswali mengi na wakati mgumu ninapomuona mwanaume anashindwa kumaliza wali au ugali na wengine hata chipsi mayai hubakisha kiasi.

Hivi ni kwa nini? Au ndio ameshiba? Au ana haraka?

Ataweza kazi za kiume huyu za kufikisha watu kileleni kweli?

Wewe kabila gani. .?
 
Labda mimi ni mlafi au mshamba, ila sijawahi kubakisha hata tonge moja la chakula cha Sh 2,000/= - 3,000/= cha kupimiwa kwenye sahani. Sasa napata maswali mengi na wakati mgumu ninapomuona mwanaume anashindwa kumaliza wali au ugali na wengine hata chipsi mayai hubakisha kiasi.

Hivi ni kwa nini? Au ndio ameshiba? Au ana haraka?

Ataweza kazi za kiume huyu za kufikisha watu kileleni kweli?

UKIMUONA MUULIZE KWANZA, UKIKOSA JIBU NDIO UJE HUKU. Kutomaliza chakula hakuhusiani na kutofikishanaa kileleni.
 
Back
Top Bottom