Mambo unayotakiwa kufanya kabla, wakati na baada ya kufanya mapenzi

proton pump

JF-Expert Member
Apr 30, 2017
5,363
6,903
Si vibaya tukashirikishana na kukumbushana haya masuala kwa sababu ni jambo la kawaida katika maisha na ni jambo pendwa Sana baada ya pesa. Ukiona kilichosahaulika ongeza cha kwako

KABLA YA MAPENZI
CHAKULA: kula chakula ambacho hakina gesi, usishibe Sana kwani huweza kukupa bhughudha wakati wa tendo, mfano kujamba, uchovu wa mapema, kwa wanaume kula zaidi protein na wanga kidogo kv mayai nyama na ugali. Usile chipsi usijekuabika unaweza piga kimoja tu, njaa.

USAFI: jinsi zote me na ke ni muhimu kuoga, pia kupiga mswaki. Kama unapenda kunukia tumia manukato lkn pendelea zaidi kubaki asili Yako bila kutumia manukato hapo penzi Huwa tamu Sana kwa joto na harufu asili ya mwili. Yani Kuna harufu asili ambayo ukisikia tu sehemu za siri zinaanza kuwashawasha huku kachafya kwa mbaaali. Yaani hapa patamu kweli kama ni harufu ( sex aroma) ya asili.

MAJI: Kunywa maji na Kaa na maji karibu inakusaidia kupunguza mapigo ya moyo na kutomwaga mapema hata wakati wa tendo ukisha chomoa uume kunywa maji inakusaidia kukojoa mara kwa Mara na kuondoa bacteria wasababishao UTI na GONO. Jinsi zote.

HAJA: hakikisha umekojoa au kwenda haja kubwa kabla ili isikupe Kero.

Protective gears: Andaa condom kwa ajili Kinga ya magonjwa pia. Kv gono lakini sio kaswende kwani ukivua vibaya halafu ukashika uume au uke vibaya teyari. Kuwa makini na majimaji hayo usigusanishe. Hii kwa wale wenye michepuko na watu wasiowaamini.

SAIKOLOJIA. usiangalie picha wala video za warumi zitakusababishia kumwaga mapema. Pia usifikirie Sana kabla ya mpenzi wako kuja huweza kusababisha kumwaga mapema pia. Au kupiga puchu au wazungu kuja karibu ndio Ile mtu anataka tu kupitisha kichwa teyari waaaaaa, wazungu. Daaa inakera

WAKATI WA TENDO
Maandalizi ni mazuri au fore play kwa ajili ya kuaanda viungo viwe teyari kwa kazi. Sio tu mara paaa ulishachomeka kama unaiba. Utasababisha michubuko na maumivu pengine. Hasa mwanamke anatakiwa atoe Ute kwa ajili ya uume iteleze vizuri na kumfikisha kileleni.

Staili nzuri ambazo haziumizi pia acha kushindana na zile za xxx wale ni wafanya biashara pia ni editing IGA ufe.

Anza taratibu nenda mwendo Fulani sio marathon. Unakuta mtu anapiga mashine utafikiri anakomoa kumbe huwezi shindana na uchi hata ufanyeje.

BAADA YA TENDO

USAFI: oga na OSHA via vya uzazi vizuri ili kuondoa pia mikosi na magonjwa kama sio mtu wako mfano unaweza kuchukua mikosi, majini magonjwa, ukahamishia hata mke wako au mume wako.

KULA. kula vizuri hasa kwa mwanaume kurudisha nguvu zako unapoteza nguvu nyingi Sana za akili na mwili pia ndio maana mwanaume baada kumaliza hulala Sana kuliko mwanamke kwa sababu we ndio unapoteza. Mwanamke hapotezi chochote ndio maana kwa wale wanafanya mapenzi Sana hawawezi kufikiria masuala mengineyo kama uzalishaji.

NB: Fanya kitu kwa kiasi ili ikusabishie kufikiri Mambo mengineyo kv ya kiuchumi, by the way kama ni ndio Chanzo chako cha mapato fanya ili kikuingizie. Asante
 
Wewe sio bure kichwani utakua umejaa hewa tuu kama blada, Kwa hivyo Umekaa kabisa ukaona huu uzi nisahihi kabisa, Kwani umetufikiraje kwanza?

1: Sisi wadogo zako?
2: Sisi watoto wako?
3: Sisi wanafunzi wako?
4: Sisi wagonjwa wako?
5: Sisi ni machizi kama wewe?

Hivyo vitu mtu hua haelekezwi wala nini ni yeye mwenyewe lazima atajizingati, What a crazy and lunatic guys that doesn’t do those through these roughly life plus stressed women..Unafaa urudi darasa la sita ujifunze tena sayansi huenda uliruka hii part!
 
Si vibaya tukashirikishana na kukumbushana haya masuala kwa sababu ni jambo la kawaida katika maisha na ni jambo pendwa Sana baada ya pesa. Ukiona kilichosahaulika ongeza cha kwako

KABLA YA MAPENZI
CHAKULA: kula chakula ambacho hakina gesi, usishibe Sana kwani huweza kukupa bhughudha wakati wa tendo, mfano kujamba, uchovu wa mapema, kwa wanaume kula zaidi protein na wanga kidogo kv mayai nyama na ugali. Usile chipsi usijekuabika unaweza piga kimoja tu, njaa.

USAFI: jinsi zote me na ke ni muhimu kuoga, pia kupiga mswaki. Kama unapenda kunukia tumia manukato lkn pendelea zaidi kubaki asili Yako bila kutumia manukato hapo penzi Huwa tamu Sana kwa joto na harufu asili ya mwili. Yani Kuna harufu asili ambayo ukisikia tu sehemu za siri zinaanza kuwashawasha huku kachafya kwa mbaaali. Yaani hapa patamu kweli kama ni harufu ( sex aroma) ya asili.

MAJI: Kunywa maji na Kaa na maji karibu inakusaidia kupunguza mapigo ya moyo na kutomwaga mapema hata wakati wa tendo ukisha chomoa uume kunywa maji inakusaidia kukojoa mara kwa Mara na kuondoa bacteria wasababishao UTI na GONO. Jinsi zote.

HAJA: hakikisha umekojoa au kwenda haja kubwa kabla ili isikupe Kero.

Protective gears: Andaa condom kwa ajili Kinga ya magonjwa pia. Kv gono lakini sio kaswende kwani ukivua vibaya halafu ukashika uume au uke vibaya teyari. Kuwa makini na majimaji hayo usigusanishe. Hii kwa wale wenye michepuko na watu wasiowaamini.

SAIKOLOJIA. usiangalie picha wala video za warumi zitakusababishia kumwaga mapema. Pia usifikirie Sana kabla ya mpenzi wako kuja huweza kusababisha kumwaga mapema pia. Au kupiga puchu au wazungu kuja karibu ndio Ile mtu anataka tu kupitisha kichwa teyari waaaaaa, wazungu. Daaa inakera

WAKATI WA TENDO
Maandalizi ni mazuri au fore play kwa ajili ya kuaanda viungo viwe teyari kwa kazi. Sio tu mara paaa ulishachomeka kama unaiba. Utasababisha michubuko na maumivu pengine. Hasa mwanamke anatakiwa atoe Ute kwa ajili ya uume iteleze vizuri na kumfikisha kileleni.

Staili nzuri ambazo haziumizi pia acha kushindana na zile za xxx wale ni wafanya biashara pia ni editing IGA ufe.

Anza taratibu nenda mwendo Fulani sio marathon. Unakuta mtu anapiga mashine utafikiri anakomoa kumbe huwezi shindana na uchi hata ufanyeje.

BAADA YA TENDO

USAFI: oga na OSHA via vya uzazi vizuri ili kuondoa pia mikosi na magonjwa kama sio mtu wako mfano unaweza kuchukua mikosi, majini magonjwa, ukahamishia hata mke wako au mume wako.

KULA. kula vizuri hasa kwa mwanaume kurudisha nguvu zako unapoteza nguvu nyingi Sana za akili na mwili pia ndio maana mwanaume baada kumaliza hulala Sana kuliko mwanamke kwa sababu we ndio unapoteza. Mwanamke hapotezi chochote ndio maana kwa wale wanafanya mapenzi Sana hawawezi kufikiria masuala mengineyo kama uzalishaji.

NB: Fanya kitu kwa kiasi ili ikusabishie kufikiri Mambo mengineyo kv ya kiuchumi, by the way kama ni ndio Chanzo chako cha mapato fanya ili kikuingizie. Asante
Hii mada sisi tulio owa haituhusu...
 
Si vibaya tukashirikishana na kukumbushana haya masuala kwa sababu ni jambo la kawaida katika maisha na ni jambo pendwa Sana baada ya pesa. Ukiona kilichosahaulika ongeza cha kwako

KABLA YA MAPENZI
CHAKULA: kula chakula ambacho hakina gesi, usishibe Sana kwani huweza kukupa bhughudha wakati wa tendo, mfano kujamba, uchovu wa mapema, kwa wanaume kula zaidi protein na wanga kidogo kv mayai nyama na ugali. Usile chipsi usijekuabika unaweza piga kimoja tu, njaa.

USAFI: jinsi zote me na ke ni muhimu kuoga, pia kupiga mswaki. Kama unapenda kunukia tumia manukato lkn pendelea zaidi kubaki asili Yako bila kutumia manukato hapo penzi Huwa tamu Sana kwa joto na harufu asili ya mwili. Yani Kuna harufu asili ambayo ukisikia tu sehemu za siri zinaanza kuwashawasha huku kachafya kwa mbaaali. Yaani hapa patamu kweli kama ni harufu ( sex aroma) ya asili.

MAJI: Kunywa maji na Kaa na maji karibu inakusaidia kupunguza mapigo ya moyo na kutomwaga mapema hata wakati wa tendo ukisha chomoa uume kunywa maji inakusaidia kukojoa mara kwa Mara na kuondoa bacteria wasababishao UTI na GONO. Jinsi zote.

HAJA: hakikisha umekojoa au kwenda haja kubwa kabla ili isikupe Kero.

Protective gears: Andaa condom kwa ajili Kinga ya magonjwa pia. Kv gono lakini sio kaswende kwani ukivua vibaya halafu ukashika uume au uke vibaya teyari. Kuwa makini na majimaji hayo usigusanishe. Hii kwa wale wenye michepuko na watu wasiowaamini.

SAIKOLOJIA. usiangalie picha wala video za warumi zitakusababishia kumwaga mapema. Pia usifikirie Sana kabla ya mpenzi wako kuja huweza kusababisha kumwaga mapema pia. Au kupiga puchu au wazungu kuja karibu ndio Ile mtu anataka tu kupitisha kichwa teyari waaaaaa, wazungu. Daaa inakera

WAKATI WA TENDO
Maandalizi ni mazuri au fore play kwa ajili ya kuaanda viungo viwe teyari kwa kazi. Sio tu mara paaa ulishachomeka kama unaiba. Utasababisha michubuko na maumivu pengine. Hasa mwanamke anatakiwa atoe Ute kwa ajili ya uume iteleze vizuri na kumfikisha kileleni.

Staili nzuri ambazo haziumizi pia acha kushindana na zile za xxx wale ni wafanya biashara pia ni editing IGA ufe.

Anza taratibu nenda mwendo Fulani sio marathon. Unakuta mtu anapiga mashine utafikiri anakomoa kumbe huwezi shindana na uchi hata ufanyeje.

BAADA YA TENDO

USAFI: oga na OSHA via vya uzazi vizuri ili kuondoa pia mikosi na magonjwa kama sio mtu wako mfano unaweza kuchukua mikosi, majini magonjwa, ukahamishia hata mke wako au mume wako.

KULA. kula vizuri hasa kwa mwanaume kurudisha nguvu zako unapoteza nguvu nyingi Sana za akili na mwili pia ndio maana mwanaume baada kumaliza hulala Sana kuliko mwanamke kwa sababu we ndio unapoteza. Mwanamke hapotezi chochote ndio maana kwa wale wanafanya mapenzi Sana hawawezi kufikiria masuala mengineyo kama uzalishaji.

NB: Fanya kitu kwa kiasi ili ikusabishie kufikiri Mambo mengineyo kv ya kiuchumi, by the way kama ni ndio Chanzo chako cha mapato fanya ili kikuingizie. Asante
Hoja zako CHAPUTA watazkataa
 
Back
Top Bottom