ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,625
- 2,443
ushanyooka naonaHahahahahhaha mtu anayekoroma naanza mm kwanza kulala alafu yeye ndo afate
ushanyooka naonaHahahahahhaha mtu anayekoroma naanza mm kwanza kulala alafu yeye ndo afate
mpe chakula asishibe hata koroma kabisa mpe chakula kidunchuBaadhi ya wanaume mnakoroma kama punda usiku mkilala fofofo mpaka kero.Jana kaja mkwe wangu loh sijalala Kwa sauti za kukoroma usiku.
Priiiii priiiii pruuuii mpaka watoto wanashindwa kulala jamani sijui mnalalaje mpaka kukoroma kunakuwa kero Kwa wanafamilia
Mkija mseme mapema tuwatafutiage chumba cha peke yenu Kwa jirani looh!
Na unabahati huyo mkweo hakua ameshiba vizuri, maana kukoroma kunaendana sana na mashuti hasa wakati mwili ume relax....Baadhi ya wanaume mnakoroma kama punda usiku mkilala fofofo mpaka kero.Jana kaja mkwe wangu loh sijalala Kwa sauti za kukoroma usiku.
Priiiii priiiii pruuuii mpaka watoto wanashindwa kulala jamani sijui mnalalaje mpaka kukoroma kunakuwa kero Kwa wanafamilia
Mkija mseme mapema tuwatafutiage chumba cha peke yenu Kwa jirani looh!
Sema neno ebu comrade.....Chaaaa!!!
Hawakosagi vizingizio aiseeeee.....Watu ambao wachoyo hawapendi wageni na ndugu utawajua hata kwa mwandiko wao
Ukisituka tu imekula kwako.Hahahahahhaha mtu anayekoroma naanza mm kwanza kulala alafu yeye ndo afate
Okay. Tunong'one.Karucee Naomba nikunong'oneze kitu!
Huo ni kama ugojwa maana sio wanume tu mbona kuna wanawake nao pia wanakoroma kama dume la nyaniBaadhi ya wanaume mnakoroma kama punda usiku mkilala fofofo mpaka kero.Jana kaja mkwe wangu loh sijalala Kwa sauti za kukoroma usiku.
Priiiii priiiii pruuuii mpaka watoto wanashindwa kulala jamani sijui mnalalaje mpaka kukoroma kunakuwa kero Kwa wanafamilia
Mkija mseme mapema tuwatafutiage chumba cha peke yenu Kwa jirani looh!
Yaani unaacha kusikilizia ukuni wa meo unasikilizia kukoroma kwa baba mkwe basi mmeo atakua na kibamiaBaadhi ya wanaume mnakoroma kama punda usiku mkilala fofofo mpaka kero.Jana kaja mkwe wangu loh sijalala Kwa sauti za kukoroma usiku.
Priiiii priiiii pruuuii mpaka watoto wanashindwa kulala jamani sijui mnalalaje mpaka kukoroma kunakuwa kero Kwa wanafamilia
Mkija mseme mapema tuwatafutiage chumba cha peke yenu Kwa jirani looh!
Matesooo ukiamka kupata usingizi mtihaniUkisituka tu imekula kwako.
Nina ndugu yangu moja hivi, ni bingwa wa kukoroma.