Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,182
- 24,685
Baadhi ya wanaume mnakoroma kama punda usiku mkilala fofofo mpaka kero.Jana kaja mkwe wangu loh sijalala Kwa sauti za kukoroma usiku.
Priiiii priiiii pruuuii mpaka watoto wanashindwa kulala jamani sijui mnalalaje mpaka kukoroma kunakuwa kero Kwa wanafamilia
Mkija mseme mapema tuwatafutiage chumba cha peke yenu Kwa jirani looh!
Mbona kisayansi wote Wanawake na Wanaume hua inatokea wanakoroma!
Hapa umefanya kama vile kukuroma kunatokea exclusively kwa wanaume tu!
Jesus!