kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,610
- 6,641
Nijaribu kwa kufata post #78 au79rangi
Nijaribu kwa kufata post #78 au79rangi
Nakupenda
Bila shaka unaongea na madanga.. Hapo kamtoroka mkewe, kakukula hajakufikisha kokoteeee na hana cha maana atakachokufanyia sasa usingizi hauji unasingizia kukoroma.
Pole.
Sisi wenye waume zetu tunafurahia kukoroma. Your man is sleeping beside you well fed, showered and sexed.
He is sleeping like a baby with no worry in the world. Kwanini asikorome.
Mmhh mama tuvumiliage tu ndo tulivoumbwa ukijumlisha na sura mbaya yaani acha kabisaBaadhi ya wanaume mnakoroma kama punda usiku mkilala fofofo mpaka kero.Jana kaja mkwe wangu loh sijalala Kwa sauti za kukoroma usiku.
Priiiii priiiii pruuuii mpaka watoto wanashindwa kulala jamani sijui mnalalaje mpaka kukoroma kunakuwa kero Kwa wanafamilia
Mkija mseme mapema tuwatafutiage chumba cha peke yenu Kwa jirani looh!
Baadhi ya wanaume mnakoroma kama punda usiku mkilala fofofo mpaka kero. Jana kaja mkwe wangu loh sijalala kwa sauti za kukoroma usiku.
Priiiii priiiii pruuuii mpaka watoto wanashindwa kulala jamani sijui mnalalaje mpaka kukoroma kunakuwa kero kwa wanafamilia.
Mkija mseme mapema tuwatafutie chumba cha peke yenu kwa jirani.
[/QUOTE
Wahenga walisema ukipenda boga penda maua na mamizizi yake....
Ni ugonjwa gani ndugu? Na nini tiba take?unadhni wanafnya makusudi?huo n ugonjwa
Temea chiniHahahahahhaha Uwiiii mm nikiolewa na mwanaume anakoroma namziba mdomo na plasta mfyuuuu kero za nn