Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,589
- 7,355
It seems mnalala chumba kimoja au nyumba yenu haina dari/ceiling board
Oya nifundishe kuweka rangi post acha uchoyoKumbuka pamoja na kukoroma kwake lakini ndiye aliyekuzalia mmeo, ambaye sijui kama wampenda!
Hukusema!Oya nifundishe kuweka rangi post acha uchoyo
Kuweka rangi fanya hivi: weka rangi[/color. Hapo kwenye doti badala yake weka alama hii]Yaani unaacha kusikilizia ukuni wa meo unasikilizia kukoroma kwa baba mkwe basi mmeo atakua na kibamia
*TIBA KWA MTU ANAEKOROMA*Baadhi ya wanaume mnakoroma kama punda usiku mkilala fofofo mpaka kero.Jana kaja mkwe wangu loh sijalala Kwa sauti za kukoroma usiku.
Priiiii priiiii pruuuii mpaka watoto wanashindwa kulala jamani sijui mnalalaje mpaka kukoroma kunakuwa kero Kwa wanafamilia
Mkija mseme mapema tuwatafutiage chumba cha peke yenu Kwa jirani looh!
Kama hivi!!Kuweka rangi fanya hivi: weka rangi[/color. Hapo kwenye doti badala yake weka alama hii]
Nimekumiss tuSema neno ebu comrade.....
Mkuu nilikuwa nafata maelekezo kuhusu rangi, asante sikuwa nafaham kabla.Kuweka rangi fanya hivi: weka rangi[/color. Hapo kwenye doti badala yake weka alama hii]
NakupendaBila shaka unaongea na madanga.. Hapo kamtoroka mkewe, kakukula hajakufikisha kokoteeee na hana cha maana atakachokufanyia sasa usingizi hauji unasingizia kukoroma.
Pole.
Sisi wenye waume zetu tunafurahia kukoroma. Your man is sleeping beside you well fed, showered and sexed.
He is sleeping like a baby with no worry in the world. Kwanini asikorome.
Hivi inawezekana ku-bold na kuweka rangi kwa pamoja?Kuweka rangi fanya hivi: weka rangi[/color. Hapo kwenye doti badala yake weka alama hii]
Baadhi ya wanaume mnakoroma kama punda usiku mkilala fofofo mpaka kero.Jana kaja mkwe wangu loh sijalala Kwa sauti za kukoroma usiku.
Priiiii priiiii pruuuii mpaka watoto wanashindwa kulala jamani sijui mnalalaje mpaka kukoroma kunakuwa kero Kwa wanafamilia
Mkija mseme mapema tuwatafutiage chumba cha peke yenu Kwa jirani looh!
Najaribu: [B=red]rangi[/B]Hivi inawezekana ku-bold na kuweka rangi kwa pamoja?
rangiNajaribu: [B=red]rangi[/B]
Inawezekana: [color=]rangi[/color.Hivi inawezekana ku-bold na kuweka rangi kwa pamoja?