DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Pleasure was not meant to be one-sided. Get your facts straight fellaUsije ukathubutu ukaoa,katika vitu ambavyo mwanaume hutakiwi kufanya Ni kuoa,hakuna kitu ambacho ukiwa bachela unakikosa kwamba ukioa ndo utakipata,ila ukioa Kuna vitu vingi sana utakuwa unavikosa, hakuna jipya ndani ya ndoa, binafsi sijaoa ila nishawazalisha watatu,
Mwanaume hutakiwi kuoa,Kama unataka stress za Maisha na kufa haraka oa utakiona Cha Moto, mwanamke mzalishe tu then mtoto akifikisha miaka minne mpige chini huyo mwanamke tafuta mwanamke mwingine,huo ndo utaratibu wangu wa Maisha ya mahusiano na sijawahi kujuta....hakuna kitu ambacho mwanamke atakupa kwenye ndoa zaidi ya papuchi...ova,povu ruksa