Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,441
- 4,093
ndoa = matatizo mzee.nawauliza watu wanitajie faida tatu za ndoa naona kimya tu vipi wewe ushaoa??Mtoa mada yupo sahihi kwa 100%, vifo vingi vya wanaume vinasababishwa na wanawake, ukitaka kuamni hili chunguza ndoa nyingi leo zina matatizo watu wanaishi kwaajili kulea watoto na kuvumiliana tuu. Wanaume wengi waliopo kwenye ndoa ndo wanakufa mapema kuliko ambao hawapo kwenye ndoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app