Mwanaume rijali hawezi kufanya haya

13. Mshikaji kunitumia text usiku, kutaka kuchat, asee kifua huwa kinajaa natamani nimlipukie jamaa, hasira.
 
Aseee mambo ya kuchat na washkaji siyamaindi kabisa, piga simu kama una shida, sio kunitumia text halafu useme ulikua unanisalimia.
 
Wanaume Wa pwani ndio wana vile vimaneno flani ivi cjui thawa, poyee, nk huku bara hakunaaaa, hata wachana marinda huku c wengi kama pwani
 
Wanaume wa dasalamu bhana,

Mkapimwe kwanza
Wanadarsalama, wanaizengo mnazingua sana, hv dume zima linasema "sema chacha", haya bhana",au ccter, kwa maana ya dada, mnashangaza sana, ndio maana mnagombania mawe ya kusugulia miguu na dada zenu, ngoja tusikitike kwanza, tse tse tse
 
Kabisa yani dume zima unakomaa unasema mambo juma?,au mambo shabani ?

Au ,"Hi brigedia" haipendezi kwa kweli

Wanaume salamu zetu " habari za sa hizi, inakuaje, shwari,kamili, au labda shikamoo kwa waliokuzidi umri

Lakini kumwambia mambo mwanaume mwenzako unakuwa unazingua


Alafu hiyo kuvaa kipuri au cheni pia haileti picha nzuri kwa kuwa tu umewaona watu wa ulaya wanavaa na wewe unataka uvae ndio ushoga unapoanzia hapo kuiga iga vitu hovyo
Sawa na ben paul alivyoiga kuvaa sketi

hi
interjection
Definition of hi for English Language Learners
  • —used as an informal way of saying “hello”

Difficulty index for hi

Most English speakers likely know this word
Word Value for hi
5

4
Scrabble

hi1


[hahy]
See more synonyms on Thesaurus.com
interjection
1.
(used as an exclamation of greeting); hello!
Origin of hi1

late Middle English
1425-1475
1425-75; late Middle English hy, perhaps variant of hei hey
Can be confused
hi, hie, high.
hi2

[hahy]
adjective
1.
an informal, simplified spelling of high:
hi fidelity.
[paste:font size="5"]HI
[/paste:font]

1.
Hawaii (approved especially for use with zip code).
H.I.
1.
Hawaiian Islands.
2.
Meteorology. heat index.
Dictionary.com Unabridged
Based on the Random House Dictionary, © Random House, Inc. 2017.
Cite This Source
 
Wachanee hawa mapunga wanakera balaaa!
1.mwanaume unasuka nywele? kweli?
2. Mwanaume unakarikit nywele? kweli?
3. Mwanaume unavaa HELENI? kweli?
4. Sikuizi wameanza kuvaa na vikaptura flani ivi!!
Hivi kamanda Siro unataka kazi hautaki? Maana haiwezekani vijana kama hawa bado wanarandaranda mitaani mpaka sasa! be serious bwana.
 
Daaa mwanaume huwa nawapa salami washkaji mambo vipi. Hapo tu ndiyo huwa naion ninayo kwa upande wangu.nitakuwa nimeanza kuwa na dalili ya hizo za kishoga labda
 
Huko mlipofikia siwezi kutia neno tena ..ila Nina mashaka na mtoa mada na hao anaowatupia vijembe
 
Inashangaza sana kukuta dume zima linafanya mambo yafuatayo,

Ukiwa miongoni mwa mambo haya basi jua una element za ushogaaa zinakukaribia

1:Mwanaume kusonya, huwa nashangaa sana nikimuona mwanaume mwenzangu anasonya au anaandika mxeuuuuw napata mashaka naye sana

2: Mwanaume kumsalimia mwanaume mwenzako mambo au kusema "Hi" mwanaume aliyekamilika hawezi akasema " Hi" hii ni salamu ya kike au labda mwanaume kumsalimia mwanamke lakini sio dume kwa dume unakuwa unazingua kichizi


3:mwanaume kuandika maneno kama ,thatha ,thawa ,tyu,poyeee hii ni dalili ya upunga

4: mwanaume kucheka huh huh huh,huu ni uboya uliopitiliza wanaume tunacheka hah hah hah hiyo huh huh huh waachieni akina dada

5:mwanaume kutumia Id ya kike humu JF huko ni kujifunza ushogaaa kwa kuwa utataka ukomenti kikike kike pia utataka kujifunza kutoa majibu ya kike watu wakikufata kukutongoza Pm,
Madhara yake yanakuja pale unapokuwa addicted na koment zako za kike mwisho wa siku utakuwa unakomenti kikike kike hata whatsup na huo ndio mwanzo wa ushogaa sasa

6:mwanaume kuandika" buana" huu pia ni ujinga uliopitiliza

7:mwanaume kutumia maneno kama" nitakuchamba" au " nitakusuta" huu ni ulofa wanaume tunatumia neno "kuchana" na sio hayo mengine


8: mwanaume kutumia emoji ya kukutanisha kidole cha kati na kidole gumba kama wale wa taarabu au wamama wa uswahilini wakipeana makavu pia ni ulofa uliopitiliza

9:mwanaume kuvaa kipuri na cheni ni dalili ya upunga hiyo

10:mwanaume kuandika "uuuuuwi" ni ujinga huo na dalili ya upunga

11: mwanaume kuandika , " nambie my" " mambo vipi wangu"hizi ni dalili za mchicha mwiba hizo

Ukiona wewe unafanya kati ya hayo niliyoyataja badilika haraka la sivyo tutakuhesabia na wewe punga
Ingekuwa kuandika hivyo ni ushoga basi hata wewe usingeandika.
 
Back
Top Bottom