Mwanaume rijali hawezi kufanya haya

brigedia mafia

JF-Expert Member
Jul 21, 2016
2,264
2,275
Inashangaza sana kukuta dume zima linafanya mambo yafuatayo,

Ukiwa miongoni mwa mambo haya basi jua una element za ushogaaa zinakukaribia

1:Mwanaume kusonya, huwa nashangaa sana nikimuona mwanaume mwenzangu anasonya au anaandika mxeuuuuw napata mashaka naye sana

2: Mwanaume kumsalimia mwanaume mwenzako mambo au kusema "Hi" mwanaume aliyekamilika hawezi akasema " Hi" hii ni salamu ya kike au labda mwanaume kumsalimia mwanamke lakini sio dume kwa dume unakuwa unazingua kichizi


3:mwanaume kuandika maneno kama ,thatha ,thawa ,tyu,poyeee hii ni dalili ya upunga

4: mwanaume kucheka huh huh huh,huu ni uboya uliopitiliza wanaume tunacheka hah hah hah hiyo huh huh huh waachieni akina dada

5:mwanaume kutumia Id ya kike humu JF huko ni kujifunza ushogaaa kwa kuwa utataka ukomenti kikike kike pia utataka kujifunza kutoa majibu ya kike watu wakikufata kukutongoza Pm,
Madhara yake yanakuja pale unapokuwa addicted na koment zako za kike mwisho wa siku utakuwa unakomenti kikike kike hata whatsup na huo ndio mwanzo wa ushogaa sasa

6:mwanaume kuandika" buana" huu pia ni ujinga uliopitiliza

7:mwanaume kutumia maneno kama" nitakuchamba" au " nitakusuta" huu ni ulofa wanaume tunatumia neno "kuchana" na sio hayo mengine


8: mwanaume kutumia emoji ya kukutanisha kidole cha kati na kidole gumba kama wale wa taarabu au wamama wa uswahilini wakipeana makavu pia ni ulofa uliopitiliza

9:mwanaume kuvaa kipuri na cheni ni dalili ya upunga hiyo

10:mwanaume kuandika "uuuuuwi" ni ujinga huo na dalili ya upunga

11: mwanaume kuandika , " nambie my" " mambo vipi wangu"hizi ni dalili za mchicha mwiba hizo

Ukiona wewe unafanya kati ya hayo niliyoyataja badilika haraka la sivyo tutakuhesabia na wewe punga
 
*Namba 2 ya kutoa Hi ni kizungu sio ushoga.(mfano mwanaume mwenzio kakwambia Hi/Hello tunajibu vipi mkuu)

*Namba 9 kuvaa cheni na vipuri ni swaggz si unawaona wasanii wetu wa bongofleva, bongo movie na wasanii wa kimataifa. Chidi benz na diamond ndo walienda mbele zaidi wakatoboa mpaka pua
 
*Namba 2 ya kutoa Hi ni kizungu sio ushoga.(mfano mwanaume mwenzio kakwambia Hi/Hello tunajibu vipi mkuu)

*Namba 9 kuvaa cheni na vipuri ni swaggz si unawaona wasanii wetu wa bongofleva, bongo movie na wasanii wa kimataifa. Chidi benz na diamond ndo walienda mbele zaidi wakatoboa mpaka pua
Kabisa yani dume zima unakomaa unasema mambo juma?,au mambo shabani ?

Au ,"Hi brigedia" haipendezi kwa kweli

Wanaume salamu zetu " habari za sa hizi, inakuaje, shwari,kamili, au labda shikamoo kwa waliokuzidi umri

Lakini kumwambia mambo mwanaume mwenzako unakuwa unazingua


Alafu hiyo kuvaa kipuri au cheni pia haileti picha nzuri kwa kuwa tu umewaona watu wa ulaya wanavaa na wewe unataka uvae ndio ushoga unapoanzia hapo kuiga iga vitu hovyo
Sawa na ben paul alivyoiga kuvaa sketi
 
Kabisa yani dume zima unakomaa unasema mambo juma?,au mambo shabani ?

Au ,"Hi brigedia" haipendezi kwa kweli

Wanaume salamu zetu " habari za sa hizi, inakuaje, shwari,kamili, au labda shikamoo kwa waliokuzidi umri

Lakini kumwambia mambo mwanaume mwenzako unakuwa unazingua


Alafu hiyo kuvaa kipuri au cheni pia haileti picha nzuri kwa kuwa tu umewaona watu wa ulaya wanavaa na wewe unataka uvae ndio ushoga unapoanzia hapo kuiga iga vitu hovyo
Sawa na ben paul alivyoiga kuvaa sketi
 
Inashangaza sana kukuta dume zima linafanya mambo yafuatayo,

Ukiwa miongoni mwa mambo haya basi jua una element za ushogaaa zinakukaribia

1:Mwanaume kusonya, huwa nashangaa sana nikimuona mwanaume mwenzangu anasonya au anaandika mxeuuuuw napata mashaka naye sana

2: Mwanaume kumsalimia mwanaume mwenzako mambo au kusema "Hi" mwanaume aliyekamilika hawezi akasema " Hi" hii ni salamu ya kike au labda mwanaume kumsalimia mwanamke lakini sio dume kwa dume unakuwa unazingua kichizi


3:mwanaume kuandika maneno kama ,thatha ,thawa ,tyu,poyeee hii ni dalili ya upunga

4: mwanaume kucheka huh huh huh,huu ni uboya uliopitiliza wanaume tunacheka hah hah hah hiyo huh huh huh waachieni akina dada

5:mwanaume kutumia Id ya kike humu JF huko ni kujifunza ushogaaa kwa kuwa utataka ukomenti kikike kike pia utataka kujifunza kutoa majibu ya kike watu wakikufata kukutongoza Pm,
Madhara yake yanakuja pale unapokuwa addicted na koment zako za kike mwisho wa siku utakuwa unakomenti kikike kike hata whatsup na huo ndio mwanzo wa ushogaa sasa

6:mwanaume kuandika" buana" huu pia ni ujinga uliopitiliza

7:mwanaume kutumia maneno kama" nitakuchamba" au " nitakusuta" huu ni ulofa wanaume tunatumia neno "kuchana" na sio hayo mengine


8: mwanaume kutumia emoji ya kukutanisha kidole cha kati na kidole gumba kama wale wa taarabu au wamama wa uswahilini wakipeana makavu pia ni ulofa uliopitiliza

9:mwanaume kuvaa kipuri na cheni ni dalili ya upunga hiyo

10:mwanaume kuandika "uuuuuwi" ni ujinga huo na dalili ya upunga


Ukiona wewe unafanya kati ya hayo niliyoyataja badilika haraka la sivyo tutakuhesabia na wewe punga
Wanaume wa dasalamu bhana,

Mkapimwe kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom