Mwanaume ni yupi hapa??

Mwanaume ni yupi hapa??

uwanaume upo pia katika kuangalia familia yako hinaweza kukubaliana na nini katika machaguoa yako unayoyapenda
kuhusu kupenda kuna wale wanaooa wana wake ambao hata hisia hazipo kwao ila wakifika katika ndoa hisia zinajizaa na kuwa mapenzi mazito ambayo hwakauweza kuamin,
 
uwanaume upo pia katika kuangalia familia yako hinaweza kukubaliana na nini katika machaguoa yako unayoyapenda<br> kuhusu kupenda kuna wale wanaooa wana wake ambao hata hisia hazipo kwao ila wakifika katika ndoa hisia zinajizaa na kuwa mapenzi mazito ambayo hwakauweza kuamin,
 
Mi nafikiri kwamba ndio maana kunakua na mke na hawara mke ni wa kuwa ndani na anakulindia heshima ila hawara ndio mambo ya
kuupa nafasi moyo na hii huwa ya muda mfupi tu kwani changu ni changu tu.huwezi kumbadilisha hata kidogo.
 
Kumbuka mwanaume ni yule mwenye maamuzi ya busara sana.....jamii ni kioo chetu lakini sio lazima iingilie masuala binafsi...kumbuka ndo huenda na upendo, uwezi, huruma na amani. Kama utaoa mke kwa kuipendezesha jamii huyo atakuwa mke wa jamii lakini kama unaoa mke kwa ajili yako chagua yule ambaye moyo wako unampenda nae anakupenda. Kumbuka wewe ndie utairudisha heshima yake kwa jamii kwa kumpenda na kumuheshimu....ukijenga familia bora people always tend to forget the past
 
nakushangaa unaoa ili kufurahisha jamii au unaoa kwa mapenzi uliyo nayo kwa huyo mwanamke?alikuwa maraya wakati huo hukuwa naye leo upo naye achana na hiyo jamii inayochunguza maisha ya watu
 
Kwa mtizamo wangu wa kwanza ndio mwanaume aliyefanya maamuzi magumu kwa kujali furaha yake yeye kwa kuamua kumuoa yule aliyempenda na kuona ndie anayefaa kuishi naye na kujenga familia,tukumbuke kwamba huyu mwanaume hakuamua from no where lzm alifanya utafiti wake na kugundua hata kama yule mwanamke ni malaya ana vitu vingi zaidi vya faida kwake kuliko sifa mbaya aliyonayo, pia atakuwa amegundua ana uwezo wa kumbadilisha kuwa mke bora either kutokana na sababu za mwanamke yule kuwa malaya na utayari wake wa kuacha hiyo tabia,kuliko mwanaume aliyeoa mke mwenye sifa zote wakati hampendi na uwezekano wa yeye kuwa malaya maisha yake yote upo wazi kwan ni lzm atatoka nje ya ndoa kumtafuta ampendae kwa thati.
 
Wa kwanza...

Huyo mwanaume akumbuke kua haishi in isolation. Kuoa mwanamke ambae ni the so called malaya ni mara nyingi hutokea katika Jammii. But kumbuka kua maisha ya ndoa yanahusisha nyie wanandoa kuishi kwa amani na hadi wale wanaowazunguka muishi nao kwa amani. Boss kwa Mantik hio kama kweli unajua mkeo alikua ni the so called Malaya kubali kua inabidi muhame na mkae makazi ya mbali kabisa... For siamini kabisa kua kuna mwanaume ambae atapenda aonane kila siku zaidi ya wanaume labda wa 4 walowahi lala na Mkeo... Sidhani kwa kweli....

Wa Pili....

Mapenzi ni mchezo wa ajabu saana. Boss mtu kuwa na vigezo vyoote haina maana ndio utampenda... sijui hii nyama ya moyo imeumbwa vipi na roho nayo sijui hutumia vigezo gani kutuongoza katika suala zima la kupenda. Maana ingekua hivo hawa kaka/dada zetu ambao mara nyingi hutoka basi wasingekua wanatoka; maana from observation unaona mtu ana mwenza ana vigezo vyoote but bado hatoka....

Uwanaume;

Nakubaliana kua mara nyingi kuonekana kua a Man is indeed a Man tokana na maamuzi yake... matendo yake.... na attitude yake hasa katika life na yalomzunguka... The above woote waweza onekana wanaume wa kweli; i.e Wa kwanza awe mtu mwenye heshima zake... kaweza mdhibiti the wife kiasi kwamba jammii yoote inaona kabisa the Change in the woman na kotovumilia upuzi wowote ambao Mkewe atafanya in relation na kunukia kwa a new species... hasa tokana na reputation... such a wife atakiwi a-entertain opposite sex kua nae karibu for jamii lazima imzushie... AU akaonekana sio mwanaume kwa kushindwa Mdhibiti.... Wa pili waweza oa Mwanamke mwenye vigezo vyoote but still ushindwe onesha uanaume wako... tena Boss in this case si ndo cheating kwa saana?? na nyie wanaume si ndo mnapenda define kwamba huo ndo uanaume (sijui nani alikuja na hii reasoning but thankfully ina change)

Thank U 4 ths useful comment!
 
katika maisha mwanaume hutokea ukawa na mtihani wa kufanya maamuzi....

baadhi ya maamuzi yanaweza kukupa heshima au kukuondolea heshima mbela ya jamii...

na tukija kwenye maamuzi kuhusu mapenzi ,ndio kabisaa....wengi wamepata au wamekosa heshima

kwenye macho ya jamii kwa sababu tu ya mapenzi.....

sasa swali hapa ni hili ....upi ni uamuzi wa kiume zaidi......kati ya mambo mawili haya....

1.moja unampenda na umeamua kumuoa mwanamke ambae jamii haimuheshimu sana.labda anaonekana 'malaya'
au anatoka out of your class na kadhalika.....

2.pili...umeamua kumuoa mwanamke mwenye sifa zote ambazo jamii inapenda.....,mzuri,shule ameenda,
ana heshima zote,tabia ni nzuri,kila mtu anakusifia na heshima imeongezeka lakini....'moyo wako haupo kwake kabisaa'

sasa hapo yupi amechukua 'uamuzi wa kiume zaidi'...????

yule anaeoa 'malaya'ambae moyo ndo umempenda.......au anaeoa 'decent one' lakini moyo haupo kabisa

ingawa jamii inafurahia....?????????

mmmh.. bila bila
 
maswali hayo sio kila mtu hujiuliza..
mostly watu huangalia vitu viwili...

1..good sex

2.good chemistry...urafiki na kuelewana.....

hapo sasa ni uamuzi wa kijinga,? wengi hawatazammi future.....
ni kuwa anafaa leo,namuoa......full stop.....matumaini kuwa atafaa kwa kila kitu


Boss hio in Blue... most men look for that... But not in a wife. Wanaume wana kasumba kua aoe mke ambae atakua a good wife and a good mom pia and good house keeper as a complimentary akijua kabisa hata kama the above blue haitapatikana hapo hamna kitakachomkwamisha kupata... Why do you think mara nyingi guys hutoka na really hot gals but when you hear anaoa... anaenda kuoa binti mpole na mtaratibu ambae outing kwake ni at minimal... Why do you think guys hukimbilia kuoa proffession ya walimu?? IMO it is because most walimu ni mara chache huwa wale wake mcharuko... among other things....
 
Maamuzi yote mawili si ya kiume. Mwanaume atasubiri for the right candidate na si kuoa malaya au mtu asompenda.
 
Mi naona mwanaume anayeowa kwa ajili ya kuifurahisha jamii ni kawad sijui hipokriti
Hataki kukubaliana na ukweli kuwa huyo mwanamke sio chaguo lake bali ni chaguo la jamii
Anajaribu kuiaminisha dunia nzima kuwa he made the right choice wakati in reality ndani ya moyo wake wala hajaridhishwa

Follow your heart bana,let love lead your way
Sio kufa na tai shingoni eti kwa ajili ya familia,sijui jamii
 
mke ni zaidi ya upendo. umpende, fuatilia vigezo vingine kwa macho matatu na pia tazama jamii kiduchu
 
Maamuzi anayofanya mtu kwa kusukumwa nguvu ya kile kilichoko moyoni kwake ndio ninayoyaheshimu. Heshima ya ndoa ni upendo wa dhati kati ya wanandoa wenyewe na siyo upendo au heshima mnayopewa na jamii inayowazunguka. Kwa hiyo kuoa husukumwa na kupendana kwa watu wawili bila kujali mwenzake anaonekanaje mbele ya jamii anayotoka. Mimi nikiwa mdogo na wenzangu wenzangu wengi tuliokulia kijijini tulikuwa katabia ka kuiba miwa, maembe, ndizi n.k. mpaka tulipochaguliwa kwenda secondary na hatimaye university. Jamii ilituelewa hivyo wanaume kwa wasichana na ktk tabia hizo mabinti na wavulana tusingepata heshima yoyote. Kijana akitaka kuoa na kutafuta binti anayeheshimika katika jamii ni ngumu kumpata na hata mama yangu aliwahi niambia tafuta mwanamke utakayeona anakufaa huko huko mjini ila kwa hapa kijijini hamna tena wasichana wenye despline. Mke wangu niliye naye huko kwao naye alikuwa hivyo hivyo ila mimi nikampenda na tuko naye licha ya sifa mbaya ambazo yawezekana jamii ilimpa kutokana na tabia zake za ujanani.

Maamuzi ya kiume ndio hayo mkuu kwani upendo ni makubaliano ya watu wawili wanaopendana despite what .. hauhitaji kupigiwa kura na jamii au upende kile jamii inachokipenda.
 
hivi 'kupenda' na kutamani vina sehemu gani kwenye hizi situations 2? nadhani kwenye hizo analysis za mwanamke malaya alizotoa ashadii, hiyo ya 3 ni ya muhimu sana. ni kwa nini alikua malaya? ww the boss, im sure umepitia ugumu na desperate situations where u wanted money. bt dd u resort to robbing? hata kama alikua desperate kupata hela ya chakula na malazi, a decent woman at heart angelala na wanaume 5 akapata mtaji wa kupika maandazi kama sio nauli ya kurudi kijijini kwa bibi yake!

KINGA'STI naona umenielewa kupita maelezo...
kuhusu Wema,mimi ni mmoja ambao 'nilikuwa in love with her since day one'..na katika mamiss tz wote
Wema ndie alienivutia kuliko wote phisically.....but je naweza kumuoa Wema????

HAPANA........

now does that make me a coward??????lol umeona ehhh? je namuona vipi Diamond?namuona jasiri na sio *****


King'ast na the boss wema anaonekana malaya kwa sababu ya umaarufu wake, wanaume wote anaotembea nao ni maarufu pia na kila akiwa na mpenzi lazima magazeti yaandike. Tujiulize kuna wadada wangapi wa umri wa wema wanabadilisha wanaume? tena kuzidi hata hao wa wema na wengine wameolewa tena ndoa za nguvu lakini bado wanapandishwa juu ya meza maofisini, ila hawasemwi kwani jamii haijui.

Kwa mtazamo wangu wema anaonekana malaya kwa sababu ya umaarufu wake na hivyo vibwana vyake ni maarufu pia. Lakini kuna watu tena wake za watu ungekua unamsoma mtu usoni alishatembea na wanaume wangapi utaona wema ni cha mtoto.
 
Back
Top Bottom