Mwanaume na nguo za kubana.

Mwanaume na nguo za kubana.

Indume Yene

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
2,968
Reaction score
727
Wadau,
Napenda kuuliza swali maana naamini hapa JF ni darasa fulani.
Swali nauliza: Mwanaume anapovaa nguo za kubana inaashiria nini?

h7.jpg
 
Dah! We umezaliwa mwaka gani!? Hijui kuwa hizi ni fasheni tu, huja na kupita, sasa ungeshuhudia enzi ya kuvaa tinabuu (dingrizi za kubana) na mashati yale ya kubana (mashati ya kunguru) ungesema nini?
 
e bwana mitaa gani hii,naona totoz zimetulia sana ati
 
mhhhh huyo wa kushoto balaa..jamani wanawake kweli maua. sidhani km inaashiria chchte zaid ya fasheni tu.
 
mtoto sio riziki jamani halafu yuko ktkt ya mademu
 
siku hizi haka ka-trend kameongezeka ila hawajui hiyo fasheni ipo driven na gays
 
Dah! We umezaliwa mwaka gani!? Hijui kuwa hizi ni fasheni tu, huja na kupita, sasa ungeshuhudia enzi ya kuvaa tinabuu (dingrizi za kubana) na mashati yale ya kubana (mashati ya kunguru) ungesema nini?

Mkuu baeleze bakusikie.

Jamani tusiwe wepesi kujudge vitu visivyo. Kama una wadogo zako wa kiume aged between 16-26 hivi unaweza elewa. Ni style wanayopendelea sasa hivi, wao wanaita tight jeans. So let them be. Zikiwachosha watavaa suti na suruali pana kama shuka za mashine za kusaga.
 
Mkuu baeleze bakusikie.

Jamani tusiwe wepesi kujudge vitu visivyo. Kama una wadogo zako wa kiume aged between 16-26 hivi unaweza elewa. Ni style wanayopendelea sasa hivi, wao wanaita tight jeans. So let them be. Zikiwachosha watavaa suti na suruali pana kama shuka za mashine za kusaga.
38785_1478651919242_1022082755_1422985_5169110_n.jpg



Style my foot!
 
Wadau,
Napenda kuuliza swali maana naamini hapa JF ni darasa fulani.
Swali nauliza: Mwanaume anapovaa nguo za kubana inaashiria nini?

h7.jpg

mi sina tatizo sana na hizo nguo, tatizo langu lipo kwa hao wakina dada, yaani wameshikwa sehemu zao za nyuma na huyo mwenye kuvaa vya kubana na wametulia tu as if wameshikwa na mwenzao
 
Dah! We umezaliwa mwaka gani!? Hijui kuwa hizi ni fasheni tu, huja na kupita, sasa ungeshuhudia enzi ya kuvaa tinabuu (dingrizi za kubana) na mashati yale ya kubana (mashati ya kunguru) ungesema nini?

Mkuu X-P
Yawezekana enzi hizo mimi nilikuwa sijafikiriwa kuwepo katika ulimwengu huu, au wakati huo mdingi wangu ndiyo alikuwa anafukuzia mother. Lakini pamoja na hayo, nilieleza kuwa hapa JF ni kama darasa.........najaribu kupata uelewa kuhusu hii mada.
 
38785_1478651919242_1022082755_1422985_5169110_n.jpg



Style my foot!

Mmh kwa mwananume kusimama namna hii just for pic inamaanisha something. Angalia hata vidole chini vinabinuliwa just for pose...... Hapo chini sijui na hand-bag yake!! Ama kweli kwa msemo wa X-Plaster tuliozaliwa sijui lini tulikosa mengi. Sina hakika miaka hiyo ya Dingrizi na Juliana kama kulikuwa na pose kama hizi kwa wanaume. Sina hakika maana sikuwepo, sisi tumezaliwa miaka ya CHADEMA....hivyo utashangaa kuona kuwa hatujui mambo mengi ya zamani.

Mkuu Mwanakiji,
Ingependeza kama ungetubandikia mambo ya kale hapa maana hatupati kwenye Wikipedia.....teeeeh...teeh
 
mi sina tatizo sana na hizo nguo, tatizo langu lipo kwa hao wakina dada, yaani wameshikwa sehemu zao za nyuma na huyo mwenye kuvaa vya kubana na wametulia tu as if wameshikwa na mwenzao

Dah mkuu mie naomba tu uniambie hii ni mitaa gani kama ni hapa bongo Darisalaam maana mhmh hizi totoz zote 2 / namaanisha KE wamenifanya niwe hoi sana kwa mihemko! Plse niambie mkuu ili niingie hiyo mitaa kupata totoz for the needful
 
Wadau,
Napenda kuuliza swali maana naamini hapa JF ni darasa fulani.
Swali nauliza: Mwanaume anapovaa nguo za kubana inaashiria nini?

h7.jpg

Mitaa gani hiyo mkuuu acha kuremba bana sisi wengine MUNKARI IPO JUU Plse tel us hata nyumba nipo tayari kuuza ili nipate hizo totoz dah! watoto mwake mwake, naona wana mikia ya nguvu huko nyuma!
 
Vijana wa siku hizi wamezoea Kata K, a.k.a Mlegezo... na wanaona sawa tu, ila ukivaa tinabuli kwao ni tatizo.
 
Back
Top Bottom