wadau,
napenda kuuliza swali maana naamini hapa jf ni darasa fulani.
Swali nauliza: Mwanaume anapovaa nguo za kubana inaashiria nini?
![]()
inawezekanaJamani eeenheee huyu Henry ni sh o ga
mi sina tatizo sana na hizo nguo, tatizo langu lipo kwa hao wakina dada, yaani wameshikwa sehemu zao za nyuma na huyo mwenye kuvaa vya kubana na wametulia tu as if wameshikwa na mwenzao
Mbona unauaaaa!!! Inamaana ni sh oga aka punga?Jamani eeenheee huyu Henry ni sh o ga
Dah! We umezaliwa mwaka gani!? Hijui kuwa hizi ni fasheni tu, huja na kupita, sasa ungeshuhudia enzi ya kuvaa tinabuu (dingrizi za kubana) na mashati yale ya kubana (mashati ya kunguru) ungesema nini?
Hatumtetei huyu jamaa in personal tunatetea mavazi ya mwanaume na nguo za kubana.Huyu jamaa ni shoga maarufu mjini nilikutana nae mitaa ya arabela wala huulizi mara mbili mnaomtetea fasheni mnakosea si riziki huyo
Sawa tuachane na huyu jamaa...then tuzungumzie mwanaume na nguo za kubana...coz this is the subject of this tread.Huyu Henry ni shoga per se! Nilimshuhudia live pale Nyumbani Lounge jinsi alivyokuwa anarembua na kukata mauno baada ya kukolea ulabu!
Jamani eeenheee huyu Henry ni sh o ga
Wadau,
Napenda kuuliza swali maana naamini hapa JF ni darasa fulani.
Swali nauliza: Mwanaume anapovaa nguo za kubana inaashiria nini?
![]()
SHOSTI; kwa hiyo through hii picha angekuwa amevaa mtu ka kanumba hawa jamaa wangesemaje?ila mi napenda sana mwanaume akivaa nguo za kubana,mnapendeza sana kiukweli ila ujiangalie na mwili wako