Kanumba mbali mkuu,kupitia hiyo picha tuweke upuuzi wa ushoga wa herry pembeni,muangalie alivyopendeza wakubali wasikulaSHOSTI; kwa hiyo through hii picha angekuwa amevaa mtu ka kanumba hawa jamaa wangesemaje?
Kanumba mbali mkuu,kupitia hiyo picha tuweke upuuzi wa ushoga wa herry pembeni,muangalie alivyopendeza wakubali wasikulaSHOSTI; kwa hiyo through hii picha angekuwa amevaa mtu ka kanumba hawa jamaa wangesemaje?
kaka huyo hana madhara ni nyuki wa mashineni tuu.
Huyu Henry ni shoga per se! Nilimshuhudia live pale Nyumbani Lounge jinsi alivyokuwa anarembua na kukata mauno baada ya kukolea ulabu!
...Eti eeehhhhhh!!s.h.o.g.a
una mtindio wa ubongos.h.o.g.a
jamani huyu jamaa nadhani huwa ni shoga
kampani zake huwa ni wadada pozi zake za kidada ..kwenye taarab yupo,picha za kparty yupo...
Dah mkuu mie naomba tu uniambie hii ni mitaa gani kama ni hapa bongo Darisalaam maana mhmh hizi totoz zote 2 / namaanisha KE wamenifanya niwe hoi sana kwa mihemko! Plse niambie mkuu ili niingie hiyo mitaa kupata totoz for the needful
hacheni majungu kuna mashoga kibao wanapiga suite
ni fashion tu sema mashoga wamo pia
Huyu ni auntie Herry Nasser.......RICE IN DA PLATE
Mkuu baeleze bakusikie.
Jamani tusiwe wepesi kujudge vitu visivyo. Kama una wadogo zako wa kiume aged between 16-26 hivi unaweza elewa. Ni style wanayopendelea sasa hivi, wao wanaita tight jeans. So let them be. Zikiwachosha watavaa suti na suruali pana kama shuka za mashine za kusaga.
Nawashaa sana jamani mwenzenu kasimamia kucha mnasema eti shoga.
what?
guyz don't be lunatics.
Mbona hapa offisini karibu ya staff nzima kwa upande wa men wamevaa za kubana?
You know what dress to prove to the people that you are handsome and awesome.
acha upuuzi wako. kila jambo la kipumbavu wewe unaona ni fasheni, haya tembea uchi basi maana nayo ni fasheni.Dah! We umezaliwa mwaka gani!? Hijui kuwa hizi ni fasheni tu, huja na kupita, sasa ungeshuhudia enzi ya kuvaa tinabuu (dingrizi za kubana) na mashati yale ya kubana (mashati ya kunguru) ungesema nini?