nasikitikaa
Member
- Apr 20, 2012
- 47
- 24
- Thread starter
- #81
kaka yangu SUN WU,nakushukuru sana ka kunisaidia kumwelimisha kaka Foundation na kwa kuonyesha jinsi alivyokosea kwa ushauri wake wa chuki mpaka sasa na wingi wa watu waliotoa comement ni yeye peke yake aliyetoa Negative jambo ambalo limemshusha kiwango kama alikuwa na kiwango cha asilimia 60 kashuka mpaka 10,it shows how he hates me without any proper reaon,Kama hayo yalivyo maoni yako, (ninayaheshimu) na yeye aliyeleta mada kutafuta mchumba kwa njia aliyotumia ni maono yake.. (and no one is any wiser) kumbuka hapa hii sio black and white, ni kipenda roho hakuna wrong or right answers, kama wewe unaona njia aliyotumia haifai (fair to you, ulitumia yako ukapata) na yeye anatumia yake atapata.., kumbuka hapa sio jukwaa la ushauri wa mapenzi ni love connect (anatafuta connection) sio ushauri wa wapi alikosea kwenye maisha
Nimesema ivyo kwa nini,kwnza kaanz kuniponda sana eti Umri wako,shepu ya nini kuitaja mara hapa si pakutafutia wachumba,jamani ivi walioweka love connect kumbe ni Wajinga?na je hajui kama kwenye mitandao kama hii pia ni kama kujenga urafiki wa kawaida hata mahusiano?je hajui kama kwa mfano tukaamua wanaJF tukiamua kuanzisha mfuko w kusaidiana inawezekana kabisa?maana yake ni kwamba ukikutana na mtu hapa ni sawasawa kama ngekutana nae popote pale,kwani leo ukisafiri kwenda ARUSHA AU POPOTE na ukakutana na mpenzi ina maana gani?si sawa tu na mkikutana kwenye Network?watu si walewale?
MIMI nilichoona ni kwamba yeye FOUNDATION hana Vigezo nilivyoweka na akapata uchungu mkubwa moyoni,ni jinsi
gani angetoa machungu moyoni ni kutoa Madongo ya matope kama alivyofanya.
sijakataa Challenge ila basi isiwe ya kuponda kama jambo nililofanya ni la ajabu wakati
anajua kabisa sijakosea na kuna mitandao mingi sana inato toa naasi ya kupata wapezi.mfano mzuri ni AFROINTRODUCTIONS! ebu afungue ndo ataona maajabu Duniani na watu wanapata wenza
na wanaishi vizuri na pizha za mifano zipo!
Ila kinachotokea ni wewe mwenyewe mhusika ni njia gani inayofaa ambayo pengine itafaa.mfao mzuri
ni mimi mbona nimeshapata,ila ninachotaka kufanya ni kuchuja na hakuna nitakayefanya nae ngono mpaka ndoa au mapa afike kwetu na kupima Ukimwi,na pia najitambua,na kuna mwingine pia kauliza kama je sina social Network ya kumpata mtu,jamani SOCIAL NETWORK MOJAWAPO NI HII ,KAMA hamuelewi muulize or just Go Back to school!
Mwisho Mungu akujalie kaka SUN WU,NI PM,MY BROTHER,you are real a wonderful.Sent from above!