nasikitikaa
Member
- Apr 20, 2012
- 47
- 24
Habari kaka,natumai mwenye sifa tajwa hapo juu ndo unayesoma hapa' mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 30,nipo serious na natafuta
mwanaume mwenye sifa hizo kwa kuwa mwenyewe nina sifa za mwanamke mrembo shepu namba 8.yaani juu mwembaba chini Mungu nampa sifa zake,kwani kanijalia kusema ukweli na ni original kabisa,rangi yangu ni maji ya kunde with Excelent Health!
Elimu ya chuo,na ni mwalimu wa Secondary hapa Dar na najitegemea na naendelea na masomo. Swali,je kwa nini nimeamua kuchagua njia hii ya JF kumtafua mpenzi wa kweli? ni kwa kuwa nimeona wengi wanaotumia FORUM HII wana upeo mzuri na waelewa na si wahuni,na hawatachukulia suala hii kama joke ndo mana sijaenda kule kwenye chit-chat so you have to be serious here! kama sio wewe mlengwa naomba upite tu nitakushukuru.
Jambo jingine ninalopenda kuweka wazi ni kwamba kabla ya kuchukua uamuzi huu mgumu nilikuwa na mpenzi ambaye awali nilijidanganya kama nimepata kumbe sivyo,kwa kuwa hakuthamini mapenzi yangu ya dhati kwa kunichukulia kiutani huku miaka ikiwa inapita pia nikatambua kwamba hatuendani kwa mambo mengi,mfano ni mlevi wa kupindukia,hapendi kujituma nikiwa na maana ya maendeleo hata ya kupiga hatua moja mbele ki- maisha,hakuwa anaonyesha Real love ya kusema mimi naweza kujivunia hata kwa marafiki kama nina mpenzi muda mwingi nikawa lonely yeye akiwa Busy na ulevi uliokithili.Ivyo tukielewana ukinipa sifa zako tutaonana live .
So if you are lonely out there you are welcome and just be realistic and affectionate!
mwanaume mwenye sifa hizo kwa kuwa mwenyewe nina sifa za mwanamke mrembo shepu namba 8.yaani juu mwembaba chini Mungu nampa sifa zake,kwani kanijalia kusema ukweli na ni original kabisa,rangi yangu ni maji ya kunde with Excelent Health!
Elimu ya chuo,na ni mwalimu wa Secondary hapa Dar na najitegemea na naendelea na masomo. Swali,je kwa nini nimeamua kuchagua njia hii ya JF kumtafua mpenzi wa kweli? ni kwa kuwa nimeona wengi wanaotumia FORUM HII wana upeo mzuri na waelewa na si wahuni,na hawatachukulia suala hii kama joke ndo mana sijaenda kule kwenye chit-chat so you have to be serious here! kama sio wewe mlengwa naomba upite tu nitakushukuru.
Jambo jingine ninalopenda kuweka wazi ni kwamba kabla ya kuchukua uamuzi huu mgumu nilikuwa na mpenzi ambaye awali nilijidanganya kama nimepata kumbe sivyo,kwa kuwa hakuthamini mapenzi yangu ya dhati kwa kunichukulia kiutani huku miaka ikiwa inapita pia nikatambua kwamba hatuendani kwa mambo mengi,mfano ni mlevi wa kupindukia,hapendi kujituma nikiwa na maana ya maendeleo hata ya kupiga hatua moja mbele ki- maisha,hakuwa anaonyesha Real love ya kusema mimi naweza kujivunia hata kwa marafiki kama nina mpenzi muda mwingi nikawa lonely yeye akiwa Busy na ulevi uliokithili.Ivyo tukielewana ukinipa sifa zako tutaonana live .
So if you are lonely out there you are welcome and just be realistic and affectionate!