Boniface Evarist
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 1,147
- 512
Kwa hiĺi sishawishiki japo najua kati ya 10 mmoja au wawili huwa wastaarabu.muhuni ni muhuni haijalishi fani,kuna maaskari wameoana na wanaheshimu ndoa zao zimejaa amani na furaha tele.................tafuta anaekupemda na kukuheshimu...fani si hoja...
Fani na mdoa siwez kuvitenganisha nataman nikufafanulie na mifano kibao but nasinzia.
Mwanajeshi wa kike awe sawa sawa na mwalimu?
manesi weng wanadanganya wanaenda kazn night kumbe wanaenda casino na maeneo ya uchangu na police da same.
kama wewe unajiheshm thanks to God ndo ile 2 out of 10.
THIS IS SERIOUS TO ME.