Foundation
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,421
- 596
Hellow once again Fou...aksante kwa ushauri wako na naufanyia kazi.
ila na wewe napenda nikupe japo ushauri mdogo.siku ingine unaposhauri
toa ile negative attitude,badala yake weka positive hata kama unakosoa
nasema ivyo kwa kuwa hata mimi ni mwalimu tena kwa miaka 6 sasa
nimekutana na changamoto nyingi sana maishani,pamoja na zile za
wanafunzi,imagine,mwanafunzi amefeli sana mtihani wake,mimi kama
mwalimu natoa comment kwenye report form yake eti huyu mwanafunzi
hafai kuendelea na masomo yake tena kwani amefeli sana,je najenga taswira
gani,bila shaka ni ya chuki na si ya kujenga.So hope you will change!
Have a good day!
Hapa JF dada. Huwezi pata postive response tu. Ila nakusifu weweni mwalimu. Ni mvumiilivu , kwa mtu mwingine angejibu ovyo ovyo tu.
Hebu tuambie kwa niaba ya wengine. Umesema elimu ya chuo, diploma au degree?Kabila gani? Unafanya kazi manispaa gani?
ASANDE SANA