Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,466
- 13,031
Mdomo unanuka, Miguu inanuka, Unachomekea shati kujionesha unajiheshim wakati kila mtu kitaa anajua una mitabia ya ajabu, Dem hata humjui unampigia mluzi akiwaambia wenzie unaoneka muhuni tu hata uende church kila j2 hapo ukipewa penzi jombaa jua unalinunua sio kupewa kwa dhati.
Wengi sana wanajaribu ku act kuwa wanajiheshim ila mwanamke alijaaliwa jicho la tatu, Ukipretend kwake ni rahisi sana kujua, Binafsi nimedate na watoto wakali tu Arusha na sijawahi kumsikia hata moja akiianzisha ishu za pesa zaidi zaidi labda niamue mwenyewe. Nipo Mbeya kwa sasa na hali ni hivyo hivyo nme date na visu lakini hakuna stori za pesa...Jiheshim kijana na uwe msafi
Spot on mkuu!, umegusa yote. Pamoja na usafi mwingine, usafi wa tabia na kauli.