STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,568
Watoto watatu wote nje ya ndoa Mwanaume ana tatizo si bure
Mkuu embu fikiria kitu kimoja, yaani watoto watatu ni wastani wa miaka 10, Je katika miaka yote kumi yaani jamaa ameshindwa kufunga hata goli moja tu? Mwanamke analalamikiwa utafiikiri alikuwa anazuia magoli.!!!
Mpendwa sijafurahishwa na usaliti bali nimeshangaa hata mbegu moja asiwe nayo kati ya hao watatuHio sio point, ndoa ni kitu Muhimu sana, ata iweje haupaswi kumsaliti mwanaume kumuingizia laana ndani, kama mwanamke angeona kuwa mumewe ana tatizo kwa nn asingedai waachane kama hafurahii hio life, kumzalishia ni zaidi ya unyama
Sent using Jamii Forums mobile app
YAH, SAWA NAKUBALI HILO.Ata iweje hapaswi kutombwa nje mkuu, ndoa ni life nyengine kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
. Ata kama mwanaume ana shida ilikua vizuri mwanamke aseme ukweli kwa mumewe ,mtoto mmoja ilkua jibu tosha kuwa lbda jmaa anatatizo,lkin kuongeza wawili tena sio fair kabisaaMpendwa sijafurahishwa na usaliti bali nimeshangaa hata mbegu moja asiwe nayo kati ya hao watatu
. Ata kama mwanaume ana shida ilikua vizuri mwanamke aseme ukweli kwa mumewe ,mtoto mmoja ilkua jibu tosha kuwa lbda jmaa anatatizo,lkin kuongeza wawili tena sio fair kabisaa
kama vile ambavyo wapo wanaume wana watoto nje ya ndoa vile vile wapo wanawake. uwe me au ke kama huwezi samehe ukalea achaneni kwa amani.
Hapana ubalozi umefanya kazi yake kihalali. Ondoa kuvunjika imetokea tu
hawajona = hawajauonaMkuu ulitaka kusema wauone ?, nashangaa wadada hawachangii, hawajona au inawachoma ?.
Canada wanafanya DNA testing kwenye immigration, kwa hivyo msingi wake upo, kwa nini unasema habari ni ya uongo?
Ni vyema wakapime atoe ridhaa mwenyewe.So kama mwanaume huna nguvu za kiume mkeo afe mgumba?
Vitu vingine wanaume tunatakiwa kushukuru kwa msaada na aibu wanazotufichia kina mama
Huyo mke Ashukuru Mungu gunia la mkaa halikuwemo ndani, jinga kabisa Canada 🇨🇦 ndo hivyo tena. Wanawake mna nini hasa?Mwanamke mmoja huko Nigeria amechakazwa vibaya na MTU anayedhaniwa kuwa ni Mme wake baadaya kutokea hali yenye utata dhidi ya watoto wao. Mwanaume huyo tajiri na mfanyabiashara alikuwa na mpango wa kuhamisha family yake kutoka Benin kwenda Canada ndipo ubalozi wa NCHI hiyo
View attachment 1364291
Ulipohitaji Vipimo vya DNA kwa watoto wake hao watatu kwa kuhofia kuwa huenda alikuwa akitaka kusafirisha watu wasiokuwa na uhusiano naye kinyume cha sheria (human trafficking). Vipimo vilikuja na majibu kuwa bwana huyo siyo baba halali wa watoto wote watatu hivyo ufanyike
View attachment 1364293
Utaratibu mwingine wa kupata Visa na taratibu zingine za kisheria ili aruhusiwe kuingia Canada. Alirudi nyumbani kumhoji mke wake juu ya baba halali wa watoto hao na kwanini amekuwa msaliti kwa kiwango cha hatari kiasi hicho lakini hakupata majibu ya kueleweka Jamaa akaamua amuue
View attachment 1364295
Kabisa lakini watu wakawahi kuokoa uhai wa mwadada huyo huku meno manne yakiwa yameng'olewa kwa ngumi nzito nzito alizosukumiwa. Bado taarifa zaidi hazijatolewa kuhusu kukamatwa kwa mwanaume huyo lakini hali ya mwanamke ambaye ni msaliti ndiyo hiyo katika picha.
Endelea kuwachekea yaani aniudhi vilivyo nimuache tu never ever and she know that
😁😁 kwamba unakwea pipa na wanao wawili hadi Toronto 1 abaki na msaliti wako lagos ChinekeNdo ngumu lakn waaungwana...pole yake..bora hata angezingua mmoja ila cyo wote watatu
😁😁 kwamba unakwea pipa na wanao wawili hadi Toronto 1 abaki na msaliti wako lagos Chineke