Mwanaume mashine

Mwanaume mashine

Nilichogundua, dogo ni mlokole fulani hivi, hajawahi kuzibua chemba sasa leo anataka afanye kweli ndo maana anatubu in advance.

Sura yake ina mawili, ama anafikiria kama atafute mafuta ya rays, au ajaribu hivyohivyo
 
Wanaume wa darisalama wanatuangusha kinoma.

By the way muhimu kujua kisimamia show iy doesn't matter show imechukua muda gani ila kikubwa show ikubalike yaani request ziwe za kutosha.

Utaskia huko darisalama mara oooh wanatumia amavubi, mara muratini za nini zote hizo?

Alafu wanaume pia tuache tabia ya kushindana kuvaa nguo na dada zetu. Mwanamke anabana chura upande wa pili unakuta wa kiume nae kabana nyoro noma sana jamani.
 
Kiruuuu nahonga na nyumba ya uridhi na mashamba mawili

hapo nachenjua makinikia yoteee mwenyewe sihitaji kamati kabisa.

Ivi uku jf kuna wenye mtambo wa GBP? ata sim tank hakuna

Mwenye nao aniambia nimuhonge ile nyumba ya uridhi
 
Kiruuuu nahonga na nyumba ya uridhi na mashamba mawili

hapo nachenjua makinikia yoteee mwenyewe sihitaji kamati kabisa.

Ivi uku jf kuna wenye mtambo wa GBP? ata sim tank hakuna

Mwenye nao aniambia nimuhonge ile nyumba ya uridhi
Nilipoona Aleppo nikakumbuka Pashtun ya Afghanistan, ambako hata njiwa wanaruka na ubawa mmoja huku mwingine ukiwa umefunika exhaust kwa ushetwani ulioko kule..... Yani kule hata bomba la moshi watu wanatamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeanza uganga wako

shindwa na ulegezwe
5.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenye wimbo kashasema. . Mwanaume mashine haijakaa kingono. . Yeye kamaanisha kuchakalika na kupiga kazi
 
Mshana Naona umewaamulia mkuu.... Ha ha ha ha ha ha.... Yaaani unataka kuniambia yale mambo ya wanawake ndo wameyachukua wao?
 
Back
Top Bottom