MWANAUME KUWA NA RAFIKI WA KIKE

MWANAUME KUWA NA RAFIKI WA KIKE

Mwaka 2012 nilikuwa na rafiki wa aina hiyo , she was so beautiful mpaka washikaji walidhani ni mpenzi wangu.

Unfortunately kumbe hata yeye ndio alivyokuwa anajitangazia kwa watu kuwa Mimi ni mpenzi wake. Kuna rafiki mmoja kwa sababu ya chuki zake alisemaga atanimegea kila demu wangu kwa sababu nilimmegea Dada zake wawili na ma-house wao watatu hivyo alifanikiwa kumgegeda yule manzi.

Mimi nilikuwa sijui as nilikuwa namchukulia kama friend tu. Aliniomba laki 5 ili afanye biashara ya kuuza mitumba nilimpa bila hiyana.

Baada ya miaka kupita juzi ndio najua kuwa yule msela alimega pia bahati nzuri manzi alishaolewa akaja kunifungukia kuwa nilikuwa namuumiza sana roho kwani yeye alikuwa ana kasoro gani na wanawake wengine kwa kipindi kile mpaka nilikuwa namkaushia.

Ila sasa hivi ndio naenda kumgegeda kweli maana tulishapanga appointment Juma mosi ya mwisho wa wiki hii.
 
Mkuu kwenye hali ya kawaida hakuna urafiki kati ya dume na jike na wanasema kushoto kuna mwanamke kulia kuna mwanaume katikati kuna shetani kiufupi tu kuwa urafiki wa kawaida ni ngumu sana na mwisho wake lazima mtadondokea kwenye mahusiano ya mapenzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom