Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,510
Hhmm...
Una uhakika?
jamani jamani hivi nn kinachangia wanaume kuwa na mahusiano zaidi ya she mmoja. maoni yenu tafadhali yaweza saidia kujua ma she tunakosea wapi.
ah ah ah nilikuwa na customers nikukol
Acha ubishi mpendwa.
Hivi Lady G, unategemea mwanaume afanye nini sasa, kama unajua kabisa ana mke/GF bado wewe unajipeleka peleka kwake!!!!lazima akutafune tu
mmmmh kwa hyo akikutafuna ndo mwanzo wa mahusiano au akitafuna na moto bati
mmmmh kwa hyo akikutafuna ndo mwanzo wa mahusiano au akitafuna na moto bati
Wewe ni mgeni hapa?mmmmh kwa hyo akikutafuna ndo mwanzo wa mahusiano au akitafuna na moto bati
Lady Gjamani jamani hivi nn kinachangia wanaume kuwa na mahusiano zaidi ya she mmoja. maoni yenu tafadhali yaweza saidia kujua ma she tunakosea wapi.
ubishi gani mpwa kwani mkisema no tutawapataje
Sensa ya Tanzania inaonyesha kuwa Mwanamume mmoja anatakiwa awe na wanawake kumi(10) so kama ukiwa na utakuwa hutendi haki.
samahani kwani wanaume wanazo mboga yenye spices tofauti au?do they have xtra orgs o something?ni katika kutafuta radha mbalimbali tu...si unajua tena kama mboga ni ileile kila siku?
sio wote, mimi nilimuoa mke wangu akiwa bikira, mimi pia nilikuwa bikira na sijawahi kwenda na mwanamke mwingine maisha yangu yote, ndoa yetu ina upendo wa ajabu, na hatuna mawazo ya kutoka nje ya ndoa kwasababu zaidi ya kupendana, tunamwogopa Mungu. huu ni ukweli toka moyoni.
wanaume wenye majukumu km wanaume ndo wachache
wanaume wenye VIUNGO VYA KIUME WAPO TEEEEEEEEEEEEEEEELE na ndo ao waliowazd wanawake kwa idadi as wel wanawake wenye uke ni weeeeeeeeeeeeng lakin wenye ukike ni wachache.
alamsik.