ni ngumu kukinai kama unabadilisha mara kwa marakwani huko anakoenda kwa huyo wa nje, hatokinai? Na akikinai anaenda wapi?
ni ngumu kukinai kama unabadilisha mara kwa marakwani huko anakoenda kwa huyo wa nje, hatokinai? Na akikinai anaenda wapi?
ni tatizo la kibaolojia zaidi. Kwa mfano dume moja la ng'ombe linatakiwa kuhudumia majike tofauti 20-25!
Ila inawezekana kutulia na mmoja tu ingawa ni maisha ya mateso na kujinyima sana. Naamini ni wachache sana wanaoweza kusimama mbele ya umma na kunyoosha mkono kwamba wameweza kumudu hiyo aina ya useja katika maisha yao yote!! I wish i could!
jamani jamani hivi nn kinachangia wanaume kuwa na mahusiano zaidi ya she mmoja. maoni yenu tafadhali yaweza saidia kujua ma she tunakosea wapi.
Lady G
Swala lolote linalohusu tabia ya binadamu halina jibu moja. Hivyo kwa swali lako jibu sio moja tu, kuna majibu mengi sana kutokana na wahusika wenyewe, mazingira,o imani yao, umri, elimu, makabila, marafiki, wazazi, malezi wakati/mda na mengine mengi. Hivyo sababu ya mimi kuwa na ma-she wengi inaweza kuwa tofauti na mwingine kuwa nao wengi. Jibu sahihi kwangu siyo jibu sahihi kwa mwingine.
Sasa basi kama una tatizo hili kwa dume lako, lifikirie katika three dimensions utapata majibu mengi kwa nini jamaa anatoka nje na ukifanya screening yamajibu yote tafuta yale makuu yafanyie kazi hakika jamaa atatulia kwako, akili zetu sisi wanaume ukizijua zilipo ni limbwata tosha.
Kikububwa elewa kuwa:
Mwanamme ni Mfalume (anahitaji utii kutoka kwa Malkia)
Mwanamke ni Malkia (anahitaji kupendwa na mfalume) thus all
wanaume wenye majukumu km wanaume ndo wachache
wanaume wenye VIUNGO VYA KIUME WAPO TEEEEEEEEEEEEEEEELE na ndo ao waliowazd wanawake kwa idadi as wel wanawake wenye uke ni weeeeeeeeeeeeng lakin wenye ukike ni wachache.
alamsik.
Jamani hivi nini kinachangia wanaume kuwa na mahusiano zaidi ya mwanamke mmoja.
maoni yenu tafadhali yaweza saidia kujua wanawake tunakosea wapi.
Maoni yenu tafadhali.
wote mnaofagilia kutafuta mboga tofauti mjue siku wakijua nao watatafuta juice ladha tofauti. Mjue marafiki zenu mnaoendaga sehem sehem ku...... Huja kutuambia kila kitu na kututongoza kwa gia hizo. Tena huwakandia kuliko maelezo na ukiangalia unaona kweli kabisa yaliyomo yamo!