Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Kwanini? Wivu?vikuku hapana ila shanga wavae..
Kwanini? Wivu?vikuku hapana ila shanga wavae..
vikuku hapana ila shanga wavae..
Kwanini? Wivu?
Mwanamme avae shanga??
Atapekechwa na mchwa kwa kweli, marfyuku.
Na miguu ya shoto hamtaki ivutie?shanga inapamba kiuno babu. Hata sisi tunataka viuno vyenu vivutie.
Na miguu ya shoto hamtaki ivutie?
Mwanaume vipambo anavyotakiwa kujinakshi navyo ni vya Silver, vinginevyo pambo lolote la Gold kwa Mwanaume ni kutafuta kumegwa .
Mwanamme ni saa na pete ya ndoa tu.
mengine haya kujiongeza kilo zisizo za lazima.
Tena na nywele zisiwe mwembe dodo.
hny kumegwa ndio nin?
Mwanaume vipambo anavyotakiwa kujinakshi navyo ni vya Silver, vinginevyo pambo lolote la Gold kwa Mwanaume ni kutafuta kumegwa .
Hata ben anavaa sembuse vijana.
hapo pa mwembe dodo...duh!
Kibinafsi sipendelei kuvaa hizo mambo,ila nilitegemea wanaovaa nao waangalie mazingira na umri wao pia.
hny kumegwa ndio nin?
kumegwaje braza...kapicha kidogo katansaidia...asante!
Shem unamega gizani? Why shem? Utajamega wadudu shauri ako.My mpenzi kabla sijakujibu!
Initial ya Honey "hyn" mbona inakua ina resemble na jina lako pia? Vinaingiliana hasa. Kuhusu mmego! Kumegwa unataka ujue kukoje ?
Unakumbuka jana mara tu , tulipozima taa ?
Kilichofata si unakikumbuka?
Ndiyo vile sasa .
Na usithubutu manake alichosema mama ndio ukweli halisi...Napenda sana kuvaa cheni lakini nakumbuka maneno ya mama yangu kuwa cheni ni kwa ajili ya wanawake, basi najikuta sithubutu kuivaa.