Mwanaume kuoa mke mmoja ni utumwa

Mwanaume kuoa mke mmoja ni utumwa

tpmazembe acha kutete uasherati na uziznzi hapa,umeyatolea wapi hayo?aliyekuuumba ndo alikuumba hivyo au umejiwekea wewe tu hivyo sheria?em prove kibiblia au hata kisayansi kwamba ni lazima mume awe na mke zaidi ya mmoja,kwa hiyo wewe kugegeda ni chakula,maji au hewa kwamba kila ukikosa hizo siku kadhaa za mwezi unadhoofu au kufa kabisa?shame on you na huyo mkeo alijichanganya kwa kweli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Usintanie ina mana unataka kusema hutaweza kuvumilia hizo.siku tano tu??? We sema ushachepuka huko hapa unatafta ahueni maybe una.uwezo wa kuwalisha na kuwaridhisha ki hali kimwili na kiuchumi wote watatu kama sio wanne
 
mwanamume kuwa na wake zaidi ya mmoja ni uzinzi na mwanamke kuwa na waume zaidi ya mmoja ni uzinzi vilevile na mzinzi sehemu yake ni ile jehanamu iwakayo moto!!!!!!!
Hata kuwa na mmoja lakini hamjahalalishwa bado ni uzinzi pia
 
itakuwa wewe mzaramo au mtu wa pwani, watu wenye shughuli zao za kufanya hawana muda wa kuwaza hayo mamabo ya wake wengi
 
kila siku na sio mara moja kwa siku, nakula nashiba hivyo mwili unachemka

Fainali uzeeni maana hizo nguvu ulinazozichezea wakati bado damu inachemka kuna kipindi itafika zitakuwa si kivile na inabidi uwe unatoa huduma sawa kwa wote hapo sasa ndio utakapokuwa kwenye risk ya ngwengwe maana itabidi na wao wachepuke
 
Hii inanikumbusha kuna jamii ya kabila flani hapa Tanzania ulikuwa hupewi uongozi kama una mke mmoja wao hoja yao ilikuwa inasimamia kwamba ikitokea ameugua unaweza ukapoteza concentration na kuihamishia kwa mkeo na kuacha mambo ya kiuongozi lakini kama ana wake wengi akiletewa taarifa anachofanya yeye ni kuuliza neno moja "mke yupi" then anawaambia "nakuja" lakini akiwa mmoja wanadai unaweza ukadondoka.

Mleta uzi umeangalia kuwagegeda tu, hujaangalia other factor za kuwapatia matumizi mengine ya muhimu
 
Kuna mambo mengi sana ya muhimu katika ndoa kuliko ku.tombana.......kama wake ni ku.tombana tu basi nao pia kwao ni utumwa kuwa na mwanaume mmoja.

Mkuu tumia tafsida ktk kupunguza ukali wa maneno
 
Mwanaume anatakiwa kuwa na wake kwanzia watatu kuendelea hili suala la kuwa na mke mmoja ni kumbana mwanaume bure.
kikawaida mwanamke hawezi kumpa mwanaume huduma mwezi mzima kuna siku atakuwa na udhuru sasa siku hizo huyo mume kila mwezi awe mtu wa punyeto?

Kikawaida ili kumfanya mwanaume kuto kuwa na tamaa za nje inabidi awe na wake watatu kuendelea.ni mtazamo tu au mnaonaje wadau?

pia scientifically iko proven kwamba mke mmoja hawezi kumtosheleza mwanaume,. hisia za ngono kwa mwanaume ziko juu sana kuliko za kike hivyo mahitaji ya ngono kwa mwanaume ni makubwa kuliko mwanamke ambayo hayawezi kutoshelezwa na mwanamke mmoja.
 
Mwanaume anatakiwa kuwa na wake kwanzia watatu kuendelea hili suala la kuwa na mke mmoja ni kumbana mwanaume bure.
kikawaida mwanamke hawezi kumpa mwanaume huduma mwezi mzima kuna siku atakuwa na udhuru sasa siku hizo huyo mume kila mwezi awe mtu wa punyeto?

Kikawaida ili kumfanya mwanaume kuto kuwa na tamaa za nje inabidi awe na wake watatu kuendelea.ni mtazamo tu au mnaonaje wadau?

mke awe na waume wangapi?
 
Ni kweli kabisa........hata wanawake huwa hatuwezi kuwa na mwanaume mmoja.......tena ndio uwe huna hela.......ndio kabisaaa........

sikubaliani na wewe.
kama mwanaume anataka kuwa na wanawake wa tatu .
Basi sioni ubaya na mwanamke kuwa na wanaume watatu.

Jamani tufanye kama hapa mnatani tu maana wengine wake zetu wapo mbali yani ukiwaza jinsi unavyommanuwamanuwa ndio aje dume lingine kumbiduwabiduwa? Hell no hizi thread zenu ukiwa na ugonjwa usifunguwe kabisa.
 
Jamani tufanye kama hapa mnatani tu maana wengine wake zetu wapo mbali yani ukiwaza jinsi unavyommanuwamanuwa ndio aje dume lingine kumbiduwabiduwa? Hell no hizi thread zenu ukiwa na ugonjwa usifunguwe kabisa.

Habari ndio hiyo........na ukweli ndio huo........
 
Japo mambo n mengi ya kusaidiana..... ila hli la kutiana nalo limo... mfn. me nsipopata kwa wiki ni shidaaaa...
 
Back
Top Bottom