Mwanaume kuoa mke mmoja ni utumwa

Mwanaume kuoa mke mmoja ni utumwa

tpmazembe

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
2,469
Reaction score
588
Mwanaume anatakiwa kuwa na wake kwanzia watatu kuendelea hili suala la kuwa na mke mmoja ni kumbana mwanaume bure.
kikawaida mwanamke hawezi kumpa mwanaume huduma mwezi mzima kuna siku atakuwa na udhuru sasa siku hizo huyo mume kila mwezi awe mtu wa punyeto?

Kikawaida ili kumfanya mwanaume kuto kuwa na tamaa za nje inabidi awe na wake watatu kuendelea.ni mtazamo tu au mnaonaje wadau?
 
Wewe unaweza kudhani kuwa Umeoa wake watu kumbe umeolea na wengine....Mimi ni mmoja tu...
 
Mwanaume anatakiwa kuwa na wake kwanzia watatu kuendelea hili suala la kuwa na mke mmoja ni kumbana mwanaume bure.
kikawaida mwanamke hawezi kumpa mwanaume huduma mwezi mzima kuna siku atakuwa na udhuru sasa siku hizo huyo mume kila mwezi awe mtu wa punye.to?

Kikawaida ili kumfanya mwanaume kuto kuwa na tamaa za nje inabidi awe na wake watatu kuendelea.ni mtazamo tu au mnaonaje wadau?

Tatizo ni pale unapokuta mtu anao hata wanne, lakini bado anayo michepuko. Kwa hiyo unatakiwa kuwa na huyo mmoja na kuendelea kuchepuka kama unavyoona inafaa, maana wake hata kama ni 20 wakishakuwa wa kwako utawazoea na kuon awa kawaida tu.
 
Uo n mtazamo wako... bt when comes to me mke mmoja mrembo anitosha... bnadamu tumeubwa wabinafsi in nature.. tunahitaji kumiliki vitu... mfano nyumba yangu, gari langu, mke wangu.. mume wangu.. na sio kuchangia... #dushe moja mke mmoja
 
mwanaume anatakiwa kuwa na wake kwanzia watatu kuendelea hili suala la kuwa na mke mmoja ni kumbana mwanaume bure.
Kikawaida mwanamke hawezi kumpa mwanaume huduma mwezi mzima kuna siku atakuwa na udhuru sasa siku hizo huyo mume kila mwezi awe mtu wa punye.to?

Kikawaida ili kumfanya mwanaume kuto kuwa na tamaa za nje inabidi awe na wake watatu kuendelea.ni mtazamo tu au mnaonaje wadau?

nimeona wengi waliojaribu hili swala lako kidato chao kilikuwa mgogoro

sijui tujulishe kaidato chako cha mwisho kabla ya kuendeleea nahisi mnajijua zaidi

nijue wapi pa kuanzia..ama urudi shule ama lah
 
mwanamume kuwa na wake zaidi ya mmoja ni uzinzi na mwanamke kuwa na waume zaidi ya mmoja ni uzinzi vilevile na mzinzi sehemu yake ni ile jehanamu iwakayo moto!!!!!!!
 
Ni kweli kabisa........hata wanawake huwa hatuwezi kuwa na mwanaume mmoja.......tena ndio uwe huna hela.......ndio kabisaaa........
 
Kuna mambo mengi sana ya muhimu katika ndoa kuliko ku.tombana.......kama wake ni ku.tombana tu basi nao pia kwao ni utumwa kuwa na mwanaume mmoja.
 
huo ni mtazamo wako na mawazo yako mm sikubaliani na ww kwani kuwa na wanawake watatu au ndo utaridhika hata ukiwa nao 200 kama ww ni mchepuko utaendelea mchepuko tuu kuwa na wanawake wengi pia utumwa
 
Mwanaume anatakiwa kuwa na wake kwanzia watatu kuendelea hili suala la kuwa na mke mmoja ni kumbana mwanaume bure.
kikawaida mwanamke hawezi kumpa mwanaume huduma mwezi mzima kuna siku atakuwa na udhuru sasa siku hizo huyo mume kila mwezi awe mtu wa punye.to?

Kikawaida ili kumfanya mwanaume kuto kuwa na tamaa za nje inabidi awe na wake watatu kuendelea.ni mtazamo tu au mnaonaje wadau?

Na mwanamke kuolewa na mume mwenye wake wengi ni utumwa!
 
Back
Top Bottom