Mwanaume kukata kiuno hii ikojee?

Mwanaume kukata kiuno hii ikojee?

Mkuu sio Wachaga wote hawajui,wapo wanaujua mpaka utachanganyikiwa, kwanza kwa ulimwengu wa sasa kujifunza kitu chochote ukiwa na nia ni rahisi
Toka lini mchaga akajua mapenzi?
 
wao haki sawa duh ........ kwa hiyo akiweka tu anaanza kukata kiuno .... your so luck me sijakutana nayo hiyo........... ila mwambue upendi.........
mnaongelea kukata kiuno kwa kwenda upside down,left and right au circular movements,maana zote ni kukata kiuno.
 
zungusha, zungusha, zungushaaa...kama kiberitiiiiiiiiiii. Zungusha, zungusha, zungusha, hii ngoma ikichezwa...nlkuwa naimba tu jamani
 
Wana MMU habari zenu.
Nijulishen ulazima au umuhimu wa mwanaume kukata kiuno kwenye game . Mim binafsi naona anazingua na kuniondolea mood in short nakereka kwa kweli

umemwambia?
 
mnaongelea kukata kiuno kwa kwenda upside down,left and right au circular movements,maana zote ni kukata kiuno.
Zote tuu, ila unakuwa conscious kuangalia ipi inampagawisha mwendhio..!
 
huyo utakua umemtoa kwenye Akudo, twanga,FM academia au kwenye bendi ya falii!
cha msingi akiweka tu mshike sitting allowance vuta kwenda ndani yako hadi ukirizika wewe basi unamuachia azunguke kwa tani yake!

hahahaahahahahaaaa.... loh! umenichekesha wewe!
 
shoga! Punga! Choko! Bwabwa! Chakla! Si riziki! Piaa!
 
mi naona km anapata raha akikata mauno basi kama kweli unampenda na unajali furaha yake, we jirilaksishe mwache akate wee hadi akojoe. (ila akiwa anapunguza spidi nawe katikaga kdg ili akumbuke kuwa nawe WAMO!)...hahahahahah!!!

Santeeeeee!!!!!!
 
MankaM KAMA UNAKERWA KWANINI USIMWAMBIE?

Maoni yetu yatasaidia nini kama hotomwambia mhusika?
Wana MMU habari zenu.
Nijulishen ulazima au umuhimu wa mwanaume kukata kiuno kwenye game . Mim binafsi naona anazingua na kuniondolea mood in short nakereka kwa kweli
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom