Mwanaume kukaa kwa wazazi!

Mwanaume kukaa kwa wazazi!

Acha dharau wewe! Kuhama nyumbani sio kuwa mzee hana nyumba ya kutosha!

Kwa taarifa yako mzee yupo hapa hapa town na mimi kwetu ndio lastborn, na nyumba ina vyumba vya kutosha tu! Nikaamua kuondoka home na mzee akanielewa kwamba nikianza maisha yangu mwenyewe na kuwa na majukumu yangu akili lazma ipanuke! Nyumban kabaki mzee na bi mkubwa na beki 3 maisha yanaendelea na wanapohitaji msaada wangu natoa!

So shut up usidanganyike na hiyo nyumba ya NHC! Wake up mtoto wa kiume!

We bobos utakuwa na matatizo wewe sio bure!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Hivi ndio maana nimeona neno Mimba na Beki 3 sasa kutoka kwa mtoa mada??? Sasa naelewa, Pole sana beki 3 wa baba yake Kiwa [how do I link a member's name?]
 
Hivi ndio maana nimeona neno Mimba na Beki 3 sasa kutoka kwa mtoa mada??? Sasa naelewa, Pole sana beki 3 wa baba yake Kiwa [how do I link a member's name?]

Mkuu unamaanisha nini?mbona tungo tata?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Waambie hao!sio kukimbilia kununua altezza tu afu unalala kwa baba!

Kwenye nyumba kuna mwanaume mmoja tu na wengine wote ni wavulana tu!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums


well said mkuu...


thread yako imewagusa wengi .. unaona wavotokwa na povu


 



well said mkuu...


thread yako imewagusa wengi .. unaona wavotokwa na povu



Sana mkuu!

Hata wakitokwa povu ujumbe ushafika

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
big up kaka mkubwa Kiranga....mimi mama amefariki nanimtoto wa kiume pekee katika familly madada wameshaolewa bado mdogo wangu mmoja!ila mzee alishaniambia nitakapo owa nitabaki nyumban ,nyumbani kuna nyumba mbili katika plot moja na hata sasa ninaish nyumba ambayo niliweka tiles kwa pesa yangu na decoration nyingine kibao kwa pesa yangu bill ya ardhi na majengo nalipa mimi .mzee anamiradi ya maduka,vitipa bajaji viwili na apartment mimi ndio namsaidia kufuatilia na shuguli zangu zinasonga....

Do you my ninja. Wabongo haweshi kufuatilia maisha ya watu.

I have been representing from Nassa to Nassau, and just about to go NASA on them and find a plot on the moon, if not Andromeda Galaxy ambako hamna internet kabisa nisisikie kelele zao, wanachonga sana mpaka inatia hasira.

Mtu humjui mwanzo wala mwisho, ushamuhukumu kwa sababu anakaa kwao?

Hujui hata falsafa ya kwao ikoje?

I know a lot of Jewish young millionaires in Brooklyn, living at moms and pops because they know money, not because they don't know money, power and respect, but precisely because they have a better understanding of these three and their dynamics.

A little knowledge is dangerous indeed.
 
MJITEGEMEE!!! Maisha ya kujitegemea mazuri,sana kwanza yanapunguza U-MARIOO,na Yanaongeza bahati kimafanikio!!
 
Hahahahaha Kiwa haki ya Mungu we jamaa lazima nakufahamu nje ya JF u ,,,Mtoto wa kiume lazima akaze si kukaa kaa home tu,Wengine mpaka harusi wanafanyiwa na kujengewa nyumba za kwenda kuishi na vicheche wao!!!Nyambafuuuuuuuuu

Sent from my BlackBerry Z10 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha Kiwa haki ya Mungu we jamaa lazima nakufahamu nje ya JF u ,,,Mtoto wa kiume lazima akaze si kukaa kaa home tu,Wengine mpaka harusi wanafanyiwa na kujengewa nyumba za kwenda kuishi na vicheche wao!!!Nyambafuuuuuuuuu

Sent from my BlackBerry Z10 using JamiiForums

Mkuu hawataki kukubali ukweli lakini huo ndo ukweli! Wakitokwa na povu ndo najua ujumbe umefika!wanasingizia wanalea wazazi

Wako weeeeengi humu JF

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Napenda kukujibu kama ifuatavyo;

1. Mtu akileta hoja sio lazma iwe umbea!

Naam. Naam.

Kwa kujua hilo ndiyo maana nikauliza zaidi ya umbea tu, kuna sababu gani ya hili kuwa hoja.

Sijapata jibu mpaka sasa. Natumai unaweza kunipa mwanga zaidi.La sivyo, kutoa sentensi hiyo hapo juu bila hoja mbadala ni utovu wa fikra pevu.

binafsi hili suala huwa najiuliza sana is it right or wrong!

Right or wrong for who? What may be right for you might not be right for another. So again, right or wrong under what cosmogony and jurisprudence?

kwa maono yangu nikaona kama ni wrong,

Hujatujuza kwanza maono yako yanatokana na cosmogony au jurisprudence gani, umekimbilia kutujuza maono yako.

This is wrong already.

nikaamua kuleta mezani kila mtu atoe maoni yake!

Na waungwana kwa kutambua kwamba si tabia njema kwa mtu aliye na jambo linalomtatiza kuliweka hadharani halafu kutopata feedback, tukakujibu kwa kile ambacho tunaaamini kabisa mioyoni mwetu. Shukuru umejibiwa, kwani kuna watu wanapost threads ambazo zinakuwa dismissed bila majibu.

ili nielewe na nisiweze kujudge vibaya au hata madogo wakiniomba ushauri niweze kuwashauri jambo la maana!

Naam, naam. Kuelewa ndo mpango wote, kwa kadiri kuelewa kunavyoeleweka.

Sasa kama wewe unadhan kuleta thread kama hii ni kudiscuss maisha ya mtu unakuwa unakosea coz huwezi ukaongea kitu bila kumuhusisha binadamu yoyote!ndio maana kila thread unaona ni umbea!

Kuna tofauti kati ya "kudiscuss maisha ya mtu" "umbea" na "kumhusisaha binadamu". Inabidi uelewe tofauti.

I am a lover of biographies - though not hagiographies- (currently reading Henry Morton Stanley's by Tim Jeal) kwa hiyo sina tatizo na kudiscuss maisha ya mtu. Unaposoma biography una discuss maisha ya mtu na muandishi tayari.

Ninachokataa zaidi ya kudiscuss maisha ya mtu ni umbea wa kusema "Iiiil, fulani kavaa an orange stripped Adidas, that is soo 1982" bila ya kujua kwamba fulani ana designer's eye appreciation ya vintage Adidas anaye loop back to the sorta vintage 1982 look.

2. Ulichokiandika at least umetoa opinion zako ukiwa wewe mwenyewe kama mfano!thanks for ur input.

As well you should.Kuna watu wanaleta threads na kujijibu wenyewe hapa, na kuuliza kwa nini threads zao hazijibiwi. Yako si tu imejibiwa, bali imejibiwa kwa dear and personal anecdotes no less. Your civility is noted, but where are you going with this?

3.Congrats,it is a big step man,u did this just because uliondoka home ukaenda kutafuta maisha ila ungekuwa home labda hadi leo ungekuwa hakuna kitu.

Badala ya kuchomekeza vi labda, ni muhimu kuniuliza kwanza.

Unajuaje kama nyumbani kwetu ma Prime MNinisters walikuwa wana frequent regularly on an impromptu basis na kwa hiyo ingenipa advantage kuwa nyumbani zaidi ya kuondoka?

4.Nimekuambia wale wale coz ulinipa direct attack as if me naongelea maisha ya mtu. Ukileta mambo ya personal ishu kesho mtu atatembea uchi halafu mtu akileta kudiscuss hapa utakimbilia kusema ni personal life while inabidi liongelewe ili ijulikane kama ni wrong or right.

Ukim judge summarily mtu anayetembea uchi bila ya kumjua personally, kama ulivyo wa judge summarily watu wanaokaa nyumbani bila kuwajua personally, nitakuambia kitu kile kile nilichokwisha kukuambia hapa tayari.

It is better to understand -understanding does not come summary judgement, but intimate understanding- than to judge that which you do not understand.

Lest you call and judge a madman an extreme brand of the most debased prostitute simply because you do not understand his brand of mental condition.

5. Kama hujisikii kuchangia thread kwa wewe kuiona ya kimbea better u leave it kaongee na wapangaji wako wajamaica.coz sio lazma uchangie kila thread.

Obviously najisikia kuchangia, na ndiyo maana nikachangia.

Kipi kimekufanya ufikirie kwamba kuna uwezekano nimechangia bila ya kujisikia kuchangia? Unaweza kujibu swali hili? Maana usipoweza unaweza kutakiwa kuniomba msamaha.

6. Ulichosema kukaa home kusaidia wazee ni sawa but just know kusaidia unaweza ukasaidia hata usipokuwa home.

Mzazi ana ugonjwa wa moyo unaoweza kumuangusha na kumuua ndani ya dakika tatu. Niambie utamsaidiaje kaanguka saa tisa usiku ukiwa Kibaha na yeye yuko Mbezi Beach?

kwa mawazo hayo utasema watu wasiende kazini

Ushajua nitakachosema kabla mimi sijasema? Umetumia method gani? Tujuze, inawezekana kuna Nobel ya kwanza ya Mtanzania inatusubiri ndani ya Stockholm hapo.

[/QUOTE]ili wazee wasije wakaanguka wakakosa msaada.trust me hao unaowaongelea wewe ni percent ndogo sana ya watu tunaowaongelea.can't blame u haupo nchini so trend yao huioni.[/QUOTE]

Percent "ndogo" ni ngapi? Umefanya uchunguzi gani kukubali kwamba hyo ni percent ndogo?

7. Hadi nimeanzisha hii thread ujue nimeona vijana wengi sana wenye maisha ya namna hii.

Vijana wengi ni wangapi? Wengi kwa universal set gani? Wengi ndio wote? Kama ni wengi na si wote, kwa nini hukutoa hiyo qualification (along with your universal set, methodology and margin of error).


Ni hao tu.
Wasalimie wapangaji wako

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Wapangaji wangu hawataki salamu za watu wasiowajua. Usifikiri kila mtu kakua kama mtu wa kijijini kwako.
 
MJITEGEMEE!!! Maisha ya kujitegemea mazuri,sana kwanza yanapunguza U-MARIOO,na Yanaongeza bahati kimafanikio!!

Waambie hao!!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mkuu tuheshimiane!mimi sio MAMA, usianze kuassume tu jinsia za watu!

Nakereka coz vijana wa taifa wanakuwa mapopompo!wakiwa viongozi hapo mbele ndio wa kwanza kutegemea misaada coz hawawez kujitegemea!!


Ila suala la jinsia umenichefua sana!naomba nitake Radhi

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Mkuu wewe ungesema tu kiroho safi hawa wanaokaa kwa wazazi wanajishaua na altezza au verossa zao kwenye starehe na wewe hauna sababu unalipa bill na mambo mengine mengi au si ajabu wamekubebea manzi coz anacomplain daily kutembea kwenye starehe au bajaji kachoka...na wewe unapenda starehe unafunikwa huko kwenye mastarehe!!!
hapo kwenye red kiroho safi wewe ni mzushi sababu viongozi wenu wanaotuyumbisha kwenye kwenye nchi hii hamna mfano hai kwamba walikua ni watu wa kukaa home baaada ya ku graduate or whatsoevr..pili kutegemea misaa ni system tu..mzazi usiwe kilaza..deni la tanzania IMF or WB unaweza kulilipa mbona umesoma na kugraduate..lakini unakua kama kilaza...!!! usijenge chuki huu ni mtizamo tu no offence..ESSE!!!
 
Naam. Naam.

Kwa kujua hilo ndiyo maana nikauliza zaidi ya umbea tu, kuna sababu gani ya hili kuwa hoja.

Sijapata jibu mpaka sasa. Natumai unaweza kunipa mwanga zaidi.La sivyo, kutoa sentensi hiyo hapo juu bila hoja mbadala ni utovu wa fikra pevu.



Right or wrong for who? What may be right for you might not be right for another. So again, right or wrong under what cosmogony and jurisprudence?



Hujatujuza kwanza maono yako yanatokana na cosmogony au jurisprudence gani, umekimbilia kutujuza maono yako.

This is wrong already.



Na waungwana kwa kutambua kwamba si tabia njema kwa mtu aliye na jambo linalomtatiza kuliweka hadharani halafu kutopata feedback, tukakujibu kwa kile ambacho tunaaamini kabisa mioyoni mwetu. Shukuru umejibiwa, kwani kuna watu wanapost threads ambazo zinakuwa dismissed bila majibu.



Naam, naam. Kuelewa ndo mpango wote, kwa kadiri kuelewa kunavyoeleweka.



Kuna tofauti kati ya "kudiscuss maisha ya mtu" "umbea" na "kumhusisaha binadamu". Inabidi uelewe tofauti.

I am a lover of biographies - though not hagiographies- (currently reading Henry Morton Stanley's by Tim Jeal) kwa hiyo sina tatizo na kudiscuss maisha ya mtu. Unaposoma biography una discuss maisha ya mtu na muandishi tayari.

Ninachokataa zaidi ya kudiscuss maisha ya mtu ni umbea wa kusema "Iiiil, fulani kavaa an orange stripped Adidas, that is soo 1982" bila ya kujua kwamba fulani ana designer's eye appreciation ya vintage Adidas anaye loop back to the sorta vintage 1982 look.



As well you should.Kuna watu wanaleta threads na kujijibu wenyewe hapa, na kuuliza kwa nini threads zao hazijibiwi. Yako si tu imejibiwa, bali imejibiwa kwa dear and personal anecdotes no less. Your civility is noted, but where are you going with this?



Badala ya kuchomekeza vi labda, ni muhimu kuniuliza kwanza.

Unajuaje kama nyumbani kwetu ma Prime MNinisters walikuwa wana frequent regularly on an impromptu basis na kwa hiyo ingenipa advantage kuwa nyumbani zaidi ya kuondoka?



Ukim judge summarily mtu anayetembea uchi bila ya kumjua personally, kama ulivyo wa judge summarily watu wanaokaa nyumbani bila kuwajua personally, nitakuambia kitu kile kile nilichokwisha kukuambia hapa tayari.

It is better to understand -understanding does not come summary judgement, but intimate understanding- than to judge that which you do not understand.

Lest you call and judge a madman an extreme brand of the most debased prostitute simply because you do not understand his brand of mental condition.



Obviously najisikia kuchangia, na ndiyo maana nikachangia.

Kipi kimekufanya ufikirie kwamba kuna uwezekano nimechangia bila ya kujisikia kuchangia? Unaweza kujibu swali hili? Maana usipoweza unaweza kutakiwa kuniomba msamaha.



Mzazi ana ugonjwa wa moyo unaoweza kumuangusha na kumuua ndani ya dakika tatu. Niambie utamsaidiaje kaanguka saa tisa usiku ukiwa Kibaha na yeye yuko Mbezi Beach?



Ushajua nitakachosema kabla mimi sijasema? Umetumia method gani? Tujuze, inawezekana kuna Nobel ya kwanza ya Mtanzania inatusubiri ndani ya Stockholm hapo.
ili wazee wasije wakaanguka wakakosa msaada.trust me hao unaowaongelea wewe ni percent ndogo sana ya watu tunaowaongelea.can't blame u haupo nchini so trend yao huioni.[/QUOTE]

Percent "ndogo" ni ngapi? Umefanya uchunguzi gani kukubali kwamba hyo ni percent ndogo?



Vijana wengi ni wangapi? Wengi kwa universal set gani? Wengi ndio wote? Kama ni wengi na si wote, kwa nini hukutoa hiyo qualification (along with your universal set, methodology and margin of error).




Wapangaji wangu hawataki salamu za watu wasiowajua. Usifikiri kila mtu kakua kama mtu wa kijijini kwako.[/QUOTE]

Duh,
Yani imebidi hadi nicheke mwenyewe!

Haya mkuu tuishie hapo!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mkuu wewe ungesema tu kiroho safi hawa wanaokaa kwa wazazi wanajishaua na altezza au verossa zao kwenye starehe na wewe hauna sababu unalipa bill na mambo mengine mengi au si ajabu wamekubebea manzi coz anacomplain daily kutembea kwenye starehe au bajaji kachoka...na wewe unapenda starehe unafunikwa huko kwenye mastarehe!!!
hapo kwenye red kiroho safi wewe ni mzushi sababu viongozi wenu wanaotuyumbisha kwenye kwenye nchi hii hamna mfano hai kwamba walikua ni watu wa kukaa home baaada ya ku graduate or whatsoevr..pili kutegemea misaa ni system tu..mzazi usiwe kilaza..deni la tanzania IMF or WB unaweza kulilipa mbona umesoma na kugraduate..lakini unakua kama kilaza...!!! usijenge chuki huu ni mtizamo tu no offence..ESSE!!!

Mkuu sipendi kuongea natumia gari gani ila hayo uliyoyataja ni ya kawaida sana kwangu!usafiri nnao tena mkali tu!sijengi chuki mkuu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mkuu sipendi kuongea natumia gari gani ila hayo uliyoyataja ni ya kawaida sana kwangu!usafiri nnao tena mkali tu!sijengi chuki mkuu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
yaa ni ya kawaida ila jua kwamba ni scenario tu hiyo nimetengeneza ila whatver usafiri ila ukifika huko kwa mastarehe unafunikwa thts why unamind..!!mzeiyerr no offence..!!
 
Kwa maana ya huu mjadala unavyoenda bila shaka kuna kitu kikubwa sana hapa. Haya watu wa Social science
changamkieni utafiti huo. Mnaweza kupata mengi sana juu ya hili.

Halafu mnasemaje? "Mnalea Wazazi"!!
 
ntakufa kwetu na sitoki kwetu milele kwani sijaona sababu za kunitoa kwetu.
 
kiukweli ni kujidharirisha kwa mwanaume (hapa nimexclude wavulana) kuishi na wazazi wake.pindi unapobalehe mwanaume yeyote yule inabidi uanze kufikiria options za kuondoka nyumbani na kuanza kujitegemea.
swali la msingi kujiuliza ni kwamba: pindi ulipozaliwa ulimkuta baba yako akiishi nyumbani kwa babu yako au bibi yako au alikua akiishi kwake?
 
Wanapenda vya kunyonga haoo! Na kugegeda kwa mikopo!!
Kakuhonga saaaana kilo, kwa manung'uniko kichizi.
Kuvaa wanashindana na mabinti! Kazi kunukia tu kama majini!

We kwanini usihonge unasubiri kuhongwa? Unaijua hela ww au ndo ukishatoa Kabaang basi unajua hela inaokotwa tu....
 
Back
Top Bottom