Kiwa
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 2,102
- 910
- Thread starter
- #61
Una-taka kuni-aminisha kwamba elimu hii hii ya Tanzania na mfumo wake ulivyo k-wa sasa ni u-rithi tosha zaidi ya shamba?
Maana wazazi wanatu-rithisha ma-neno kwamba kwamba elimu ni u-rithi tosha.
Mkuu hayo mashamba yenyewe mafisadi washagawana!mzee wako mwenyewe unaweza ukakuta hata hilo shamba hana! Me naona mjini shule ni shamba tosha kama ukiitumia vizuri!
Watu wenyewe kijijin wanaacha mashamba wanakuja mjini kutafuta maisha
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums