Mwanaume kukaa kwa wazazi!

Mwanaume kukaa kwa wazazi!

Hao wazazi wake wamemlea kwangu angeisoma number manake ningempa jukumu la kulipa ada ya mdogo wake bila kusahau budget ya home . Yaani hata babake angejifanya kutetea hiyo hela angeitoa tu. Huyo ndio basi tena maana wanasema a fool at 40 is .......................Wazazi tunakosea sana huwa tunafikiri tunawasaidia watoto kumbe tunawafanya wawe vilema maisha yao yote. Sasa mtu kama huyo ukifa bwana atagombania mali mpaka basi

Nashukuru kwa kuongea kama mzazi! Hellow mumy hellow dady ndo wana tabia hizo!mzazi anaogopa kumuachia mtoto akajitegemee coz hajamfundisha vizuri kujitegemea!wazazi wanakosea sana hapo kujifanya kulea kizungu!vijana wanaharibika

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
ha ha ha ha ha...., kukaa hom kwa malengo haina shida, ila sio upo upo tu unakula mshahara wote bila kufanya la maana. kuna rafik yangu hapa mujine ameoa na bado anakaa kwao, baba yake kampa nyumba ya pembeni na kamkataza kupanga mpaka akimaliza nyumba yake ndo aondoke hom.

soon anamalizia nyumba yake na atahamia, anaishi vizuri tu na jamii haioni tatizo.

my take: usipende kuwaona wenzako mazoba kwa kukaa nyumbani kwao, wengine wana malengo mazuri tu. just live your life.
 
Inaelekea baba yako hajatulia na kwenu mna vyumba viwili na sebule.

Acha dharau wewe! Kuhama nyumbani sio kuwa mzee hana nyumba ya kutosha!

Kwa taarifa yako mzee yupo hapa hapa town na mimi kwetu ndio lastborn, na nyumba ina vyumba vya kutosha tu! Nikaamua kuondoka home na mzee akanielewa kwamba nikianza maisha yangu mwenyewe na kuwa na majukumu yangu akili lazma ipanuke! Nyumban kabaki mzee na bi mkubwa na beki 3 maisha yanaendelea na wanapohitaji msaada wangu natoa!

So shut up usidanganyike na hiyo nyumba ya NHC! Wake up mtoto wa kiume!

We bobos utakuwa na matatizo wewe sio bure!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
ha ha ha ha ha...., kukaa hom kwa malengo haina shida, ila sio upo upo tu unakula mshahara wote bila kufanya la maana. kuna rafik yangu hapa mujine ameoa na bado anakaa kwao, baba yake kampa nyumba ya pembeni na kamkataza kupanga mpaka akimaliza nyumba yake ndo aondoke hom.

soon anamalizia nyumba yake na atahamia, anaishi vizuri tu na jamii haioni tatizo.

my take: usipende kuwaona wenzako mazoba kwa kukaa nyumbani kwao, wengine wana malengo mazuri tu. just live your life.

Zoba ni yule anaekaa bila malengo yoyote kwa kuogopa maisha! Kuna condition ni acceptable as I said earlier!

So kama una reason ya msingi sawa ila kama upo upo tu hujielewi better ujipange!!

Elimu iko mtaani

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Asee kama kwao? Wewe inakuhusu nini kama wewe ni mvulana shame on you, haujui mipango yake bora kukaa kimya au ungemwambia kuliko kuleta umbeya humu
 
Nashukuru kwa kuongea kama mzazi! Hellow mumy hellow dady ndo wana tabia hizo!mzazi anaogopa kumuachia mtoto akajitegemee coz hajamfundisha vizuri kujitegemea!wazazi wanakosea sana hapo kujifanya kulea kizungu!vijana wanaharibika

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Unadhani wazungu wanalea hivyo basi ni kwa vile wengi hatujui tu. Bwana mzungu mtoto wake anaanza kufanya kazi ana miaka 15 akiwa high school. Na akimaliza high school wengine hawapendi kwenda chuo hivyo akianza kazi rasmi inambidi achangie home na wengine anaenda kupanga chumba kwani keshakua. Tena wenzetu ndio wabaya zaidi hakuna kujibweteka kama sisi wala kula bure. Hasa wazazi wa kileo ndio usiseme na hivi mtoto anakuta kila kitu na kujiona yeye ni mmiliki wa kila kitu hapo nyumbani hali ambayo inamfanya ajisahau ndio wale wazazi wanapoenda makao ya milele kijana anaishi maisha ya taabu sana kiasi mpaka mnajiuliza mbona anakila kitu vipi kaporomoka vile. Ukizingatia ameachwa akiwa mtu mzima na kazi yake. Tuwafundishe watoto kusimama wenyewe.
 
Hii sio mada ni manung'uniko. Kuna kitu alikitegemea sasa kimekwamishwa na circumstances ndio anatoka povu. Anaongea as if watu wote wanaokaa kwao anajua sababu za kukaa kwao nyumbani.

Kuna watu wana majumba makubwa hasa, ila wanaathiriwa na upweke. Hivi ukiwa na akili timamu unaweza kumuacha mama yako ambaye amebaki peke yake kwenye mjumba mkuubwa wewe ukaenda kupanga au kisa na wewe umejenga ya kwako?!

Halafu sijui nani kamwambia kila anayekaa nyumbani analishwa. Kuna watu inawalazimu kubakia home kwa ajili ya kuwaangalia hao hao wazee pengine hawako stable au wamechoka sana kwa umri. Unapiga hesabu ya nani anawawekea LUKU ikiisha, nani anawatazama afya zao, nani anatazama matunzo ya hiyo estate na kadhalika.

Mimi ningeungana naye kama tungekuwa tunawalaani wale wanaowategemea wazazi wao ilhali wana uchumi na umri wa kujitegemea. Lakini kama kuishi kwa wazazi, huo ni upuuzi kujadili tena ni umbea hasa. Una hakika gani kama hao wazazi hawaishi kwa kumtegemea huyo mtoto wao. Au mzazi akiwa na nyumba ndio anakula nyumba?

Nakubaliana na wewe kwa upande mmoja na nnapingana na wewe kwa upande mwingine!

*sikubaliani na wewe kwamba sio lazma kusaidia wazazi ukae nyumbani kwa wazazi!wapo watu wengi wanasaidia wazazi na wanakaa kwao

*Je,ina maana utakaa milele?yaan hadi uoe,upate watoto kisa tu unawasaidia wazazi wako?

*nakubaliana na wewe kuhusu suala la kuishi na mama coz yuko alone

*halafu jua kwamba mimi sinung'uniki ila naeleza hisia zangu kwamba kwangu me naona sio sawa!!


We mkuu nshakuelewa ni exception ndo mana una defense mechanism kali


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
We punga zeze hakuna wa kukuonea wivu,kisa nn baba ako alikuandalia maisha?!sio kila mtu anasubiri ya kuandaliwa maisha!

Anyway all in all tulia home watu waje kukuposa mtoto mzuri wa mama!!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
naona povu linakutoka mzee !najua sababu kubwa ni maisha yanakuchapaaa mjini mkuu,kama vp rudi shamba!
 
Kukaa kwa wazazi ndo mpango mjini unalala bure unakula bure unapata na hela za kulewea na mkoko wa mshua mjini shule bana
 
naona povu linakutoka mzee !najua sababu kubwa ni maisha yanakuchapaaa mjini mkuu,kama vp rudi shamba!

Hahahaahahaha!mkuu ebu nitake radhi!me shamba nikafanyaje?!najua ukweli wangu unakuuma!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Aisee sikujua kumbe wengi sana wanaishi kwa Wazazi wao at age of 30s?!!
 
Soni tatizo la kijana kukaa kwao kama hakuna sababu ya kupanga Ni vizuri akae kwao ili pesa anayopata atumie kufanyia maendeleo. Wengi wanaondoka kwao wanakuwa na sababu chanya au hasi sio kwa sababu anapenda kuondoka kwao
 
Hao wazazi wake wamemlea kwangu angeisoma number manake ningempa jukumu la kulipa ada ya mdogo wake bila kusahau budget ya home . Yaani hata babake angejifanya kutetea hiyo hela angeitoa tu. Huyo ndio basi tena maana wanasema a fool at 40 is .......................Wazazi tunakosea sana huwa tunafikiri tunawasaidia watoto kumbe tunawafanya wawe vilema maisha yao yote. Sasa mtu kama huyo ukifa bwana atagombania mali mpaka basi

Ndo wanaaongoza kwenye kesi za mirathi nchini, wanakomaa hivi kwenye jamvi, usiombe uwakute kwenye mirathi, wanagombania hadi maiti! Ndugu yangu tembeeni muone jama.
 
Wale wale!kama hauna cha kuchangia kaa kimya!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

I really was not in the mood to self-congratulate, but you gave me the excuse - not that I needed one, but this one is on you.

Hujajibu swali, kati ya anayeuliza swali ambalo hujalipa jibu, na wewe unayesema "wale wale" bila kufafanua nani hana cha kuchangia?

I left home around 19, never to return again. Bongo hiyo nimeishi kwa kujua maana ya kuondoka nyumbani kama niko mtoni. Bila kulazimishwa.Miaka hiyo.

Nina nyumba - nyumba as in plural, not singular- napangisha Jamaicans. Nakaa kwenye a leafy suburb ambayo property tax yake tu kwa mwaka huko madongokuinama ushajenga nyumba. Bongo nasomesha daktari, among many other contributions to my immediate community.

Clearly you cannot say that I am the dependent type. My track record will show.

Haya mambo yangenifanya niwe mtu rahisi sana ku generalize wanaokaa kwa wazazi wao ni wazembe etc etc, bila kujua specifics. But I am not like that.

Sasa unaposema "wale wale" una maana gani? Unanijua kivipi mpaka kujiridhisha ni "wale wale"? Hao "wale wale" kina nani?

Zaidi ya yote, hujajibu swali.

Ukiondoa sababu za umbea tu ambazo nazipiga vita kila siku, kwa nini mtu mzima mmoja atake kujua kwa saaana habari za mtu mzima mwingine anaishije?

Kuna watu wanakaa na wazazi wao kwa sababu wazazi wanaogopa wanaweza kuanguka usiku wakafariki kwa magonjwa bila ya kuwa na msaada wa karibu.

Hawa wana uwezo wa kuondoka nyumbani, lakini wanataka kuwa karibu na wazazi kutoa msaada ukihitajika.

Kwa akili yako ya summary judgement utawahukumu hawa kama wazembe pia?
 
I really was not in the mood to self-congratulate, but you gave me the excuse - not that I needed one, but this one is on you.

Hujajibu swali, kati ya anayeuliza swali ambalo hujalipa jibu, na wewe unayesema "wale wale" bila kufafanua nani hana cha kuchangia?

I left home around 19, never to return again. Bongo hiyo nimeishi kwa kujua maana ya kuondoka nyumbani kama niko mtoni. Bila kulazimishwa.Miaka hiyo.

Nina nyumba - nyumba as in plural, not singular- napangisha Jamaicans. Nakaa kwenye a leafy suburb ambayo property tax yake tu kwa mwaka huko madongokuinama ushajenga nyumba. Bongo nasomesha daktari, among many other contributions to my immediate community.

Clearly you cannot say that I am the dependent type. My track record will show.

Haya mambo yangenifanya niwe mtu rahisi sana ku generalize wanaokaa kwa wazazi wao ni wazembe etc etc, bila kujua specifics. But I am not like that.

Sasa unaposema "wale wale" una maana gani? Unanijua kivipi mpaka kujiridhisha ni "wale wale"? Hao "wale wale" kina nani?

Zaidi ya yote, hujajibu swali.

Ukiondoa sababu za umbea tu ambazo nazipiga vita kila siku, kwa nini mtu mzima mmoja atake kujua kwa saaana habari za mtu mzima mwingine anaishije?

Kuna watu wanakaa na wazazi wao kwa sababu wazazi wanaogopa wanaweza kuanguka usiku wakafariki kwa magonjwa bila ya kuwa na msaada wa karibu.

Hawa wana uwezo wa kuondoka nyumbani, lakini wanataka kuwa karibu na wazazi kutoa msaada ukihitajika.

Kwa akili yako ya summary judgement utawahukumu hawa kama wazembe pia?

Napenda kukujibu kama ifuatavyo;

1. Mtu akileta hoja sio lazma iwe umbea!binafsi hili suala huwa najiuliza sana is it right or wrong!kwa maono yangu nikaona kama ni wrong,nikaamua kuleta mezani kila mtu atoe maoni yake!ili nielewe na nisiweze kujudge vibaya au hata madogo wakiniomba ushauri niweze kuwashauri jambo la maana! Sasa kama wewe unadhan kuleta thread kama hii ni kudiscuss maisha ya mtu unakuwa unakosea coz huwezi ukaongea kitu bila kumuhusisha binadamu yoyote!ndio maana kila thread unaona ni umbea!


2. Ulichokiandika at least umetoa opinion zako ukiwa wewe mwenyewe kama mfano!thanks for ur input.


3.Congrats,it is a big step man,u did this just because uliondoka home ukaenda kutafuta maisha ila ungekuwa home labda hadi leo ungekuwa hakuna kitu.


4.Nimekuambia wale wale coz ulinipa direct attack as if me naongelea maisha ya mtu. Ukileta mambo ya personal ishu kesho mtu atatembea uchi halafu mtu akileta kudiscuss hapa utakimbilia kusema ni personal life while inabidi liongelewe ili ijulikane kama ni wrong or right.

5. Kama hujisikii kuchangia thread kwa wewe kuiona ya kimbea better u leave it kaongee na wapangaji wako wajamaica.coz sio lazma uchangie kila thread.


6. Ulichosema kukaa home kusaidia wazee ni sawa but just know kusaidia unaweza ukasaidia hata usipokuwa home.kwa mawazo hayo utasema watu wasiende kazini ili wazee wasije wakaanguka wakakosa msaada.trust me hao unaowaongelea wewe ni percent ndogo sana ya watu tunaowaongelea.can't blame u haupo nchini so trend yao huioni.


7. Hadi nimeanzisha hii thread ujue nimeona vijana wengi sana wenye maisha ya namna hii.


Ni hao tu.
Wasalimie wapangaji wako

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kuna watu wanakaa na wazazi wao kwa sababu wazazi wanaogopa wanaweza kuanguka usiku wakafariki kwa magonjwa bila ya kuwa na msaada wa karibu.

Hawa wana uwezo wa kuondoka nyumbani, lakini wanataka kuwa karibu na wazazi kutoa msaada ukihitajika.

Kwa akili yako ya summary judgement utawahukumu hawa kama wazembe pia?

big up kaka mkubwa Kiranga....mimi mama amefariki nanimtoto wa kiume pekee katika familly madada wameshaolewa bado mdogo wangu mmoja!ila mzee alishaniambia nitakapo owa nitabaki nyumban ,nyumbani kuna nyumba mbili katika plot moja na hata sasa ninaish nyumba ambayo niliweka tiles kwa pesa yangu na decoration nyingine kibao kwa pesa yangu bill ya ardhi na majengo nalipa mimi .mzee anamiradi ya maduka,vitipa bajaji viwili na apartment mimi ndio namsaidia kufuatilia na shuguli zangu zinasonga....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom