Mwanaume kukaa kwa wazazi!

Mwanaume kukaa kwa wazazi!

Habari zenu wakuu!

Huwa kuna jambo linanichanganya kweli!unakuta kijana wa kiume amemaliza chuo kikuu,anafanya kazi kwa miaka kama mitatu hivi ila cha kushangaza bado anakaa kwa wazazi!kibaya zaidi wengine unakuta wanakaa kwa ndugu very comfortable!

Kinachonikera hawa vijana ndo wa kwanza kujishaua mjini hapa kwenye starehe!

Anyway labda mimi najudge vibaya ila wenzangu kijana kama huyu mnamchukulia kama mwanaume au mvulana?!




Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Mkuu inaelekea Wazazi wako walichelewa kuja mjini au katika familia we ndo mkubwa pekee ambaye baada ya kuchaguliwa chuo mjini ndo ukabahatika kuishi mjini.
Au labda Baba ako alicheza Golori na Mama Mdako wakajisahau wenzio walivyokuwa wanatafuta Pesa.

Turudi kwenye Topic mi binafsi Mzee wangu M/Mungu kamjaalia nyumba kama 4 hapa mjini,,wakati nilipomaliza masomo na kutaka kuanza maisha amenipa nyumba moja ambayo nakaa hadi sasa hivi na sharti alilonipa ni mpaka nihamie kwangu kwani haoni sababu ya Mimi kwenda kupanga ubavu 180,000 wakati nyumba zipo na ukizingatia Mimi ndio mtoto wa kiume peke yangu na dada zangu watatu wapo kwao.

Hela ya kujenga naifanyia mambo mengine binafsi,,nakushangaa ukisema mzee akifa tunategemea mali sasa hizo Mali azitegemee nani kama sio mtoto wake au unataka tuziache?

Mkuu inaelekea wewe ulishaambiwa Soma sana kwani Urithi wako ni Elimu Wazazi hawana kitu,,,Walaumu wazee wako wakati wa kutafuta hela wenyewe wanachunga Ng'ombe.
 
Mkuu inaelekea Wazazi wako walichelewa kuja mjini au katika familia we ndo mkubwa pekee ambaye baada ya kuchaguliwa chuo mjini ndo ukabahatika kuishi mjini.
Au labda Baba ako alicheza Golori na Mama Mdako wakajisahau wenzio walivyokuwa wanatafuta Pesa.

Turudi kwenye Topic mi binafsi Mzee wangu M/Mungu kamjaalia nyumba kama 4 hapa mjini,,wakati nilipomaliza masomo na kutaka kuanza maisha amenipa nyumba moja ambayo nakaa hadi sasa hivi na sharti alilonipa ni mpaka nihamie kwangu kwani haoni sababu ya Mimi kwenda kupanga ubavu 180,000 wakati nyumba zipo na ukizingatia Mimi ndio mtoto wa kiume peke yangu na dada zangu watatu wapo kwao.

Hela ya kujenga naifanyia mambo mengine binafsi,,nakushangaa ukisema mzee akifa tunategemea mali sasa hizo Mali azitegemee nani kama sio mtoto wake au unataka tuziache?

Mkuu inaelekea wewe ulishaambiwa Soma sana kwani Urithi wako ni Elimu Wazazi hawana kitu,,,Walaumu wazee wako wakati wa kutafuta hela wenyewe wanachunga Ng'ombe.

Wewe mkuu hoja hujaielewa nadhani!mada ni kuishi nyumba moja na wazazi wako!

Scenario yako ni kwamba unaishi moja ya nyumba za mzee ila kila mtu anaishi kwake hapo me sioni tatizo coz unajitegemea

Halafu usifikiri wanaokaa kimya hawasemi wazee wao wana nyumba ngap ni kwamba hawana ila ni kwamba tu hawapendi majigambo! Kuna wengine wakiongea humu utaona hata huyo mzee wako alicheza tu na nyumba zake nne hizo


Ushauri wangu:
Pigana na wewe upate nyumba zako sio kubweteka tu eti kisa mzee amekuachia,nyie ndio mwisho wa siku mnakujaga kuchinjana ndugu kugombania mali. Mzee akikupa ni sawa ila na wewe tafuta chako.

Yes mzee alinipa elimu bora ili nijifunze kujitegemea,ila haimaanishi hana uwezo.



Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kwa maana ya huu mjadala unavyoenda bila shaka kuna kitu kikubwa sana hapa. Haya watu wa Social science
changamkieni utafiti huo. Mnaweza kupata mengi sana juu ya hili.

Halafu mnasemaje? "Mnalea Wazazi"!!

Mkuu research inabidi ifanyike kiukweli!

Yap!wanalea wazazi ndo excuse yao hiyo

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
ntakufa kwetu na sitoki kwetu milele kwani sijaona sababu za kunitoa kwetu.

Eeh mungu usikie kuomba kwetu!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
kiukweli ni kujidharirisha kwa mwanaume (hapa nimexclude wavulana) kuishi na wazazi wake.pindi unapobalehe mwanaume yeyote yule inabidi uanze kufikiria options za kuondoka nyumbani na kuanza kujitegemea.
swali la msingi kujiuliza ni kwamba: pindi ulipozaliwa ulimkuta baba yako akiishi nyumbani kwa babu yako au bibi yako au alikua akiishi kwake?

Indian tradition
Babu,baba,mtoto,mjukuu wote nyumba moja

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kama unaishi mji huo huo ambao wazazi wako wanaishi na hakuna uhaba wa vyumba nyumbani na bado hujaoa kwa nini ukimbilie kupanga? Hizo hela si bora zifanye kitu kingine cha kuzalisha au zitumike kuanzisha ujenzi ili hamu ya kukaa na wazazi ikienda inapungua unahamia kwenye kakibanda kako.
 
kuna english saying"too much circulation makes the price go down" hivyo najitahidi kujitengenezea thamani kwa kuwa adimu nyumbani.Kitu kingine kinacho nifanye nipende kupanga hata kama maisha yangu hayajatulia sana ni ule uhuru wa kuwepo kwangu,ukiwa kwenu hauwezi kuwa huru kwa asilimia mia kwa sababu upo chini ya mzazi na kuna aina ya wazazi ambao wao wanaona watoto wao ni bado wadogo hivyo kukusemea lolote ambalo kwa wengine inakuwa fedheha,ama kukupa masharti ya muda wa kurudi nyumbani nk

kitu kingine kilichonikimbiza nyumbani ni baada ya kutokuwa na kazi ,hivyo mimi na wadogo zangu wa kike tunaonekana sawa tu,heshima yangu kwa kiasi inashuka, unaweza kuta hata jina la kaka linapotea,kuonesha you are a man and fighter,ilinilazimu nipange ili kurudisha heshima yangu na tangu hapo nimekuwa hadimu sana nyumbani na hii imepelekea kuonekana ninathamani machoni kwao kwa marachache ninazotokea kuwasalimu.

Angalizo:maisha ya kupanga bila ishu ya kueleweka ni magumu
 
Kama unaishi mji huo huo ambao wazazi wako wanaishi na hakuna uhaba wa vyumba nyumbani na bado hujaoa kwa nini ukimbilie kupanga? Hizo hela si bora zifanye kitu kingine cha kuzalisha au zitumike kuanzisha ujenzi ili hamu ya kukaa na wazazi ikienda inapungua unahamia kwenye kakibanda kako.

But mkuu jua kujenga nao ni mchakato mgumu ambao utakuchukua muda kidogo!what if unataka kuoa na mjengo wako ndo bado kabisa?utaoa uendelee kukaa kwa mama wewe na mke wako?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
kuna english saying"too much circulation makes the price go down" hivyo najitahidi kujitengenezea thamani kwa kuwa adimu nyumbani.Kitu kingine kinacho nifanye nipende kupanga hata kama maisha yangu hayajatulia sana ni ule uhuru wa kuwepo kwangu,ukiwa kwenu hauwezi kuwa huru kwa asilimia mia kwa sababu upo chini ya mzazi na kuna aina ya wazazi ambao wao wanaona watoto wao ni bado wadogo hivyo kukusemea lolote ambalo kwa wengine inakuwa fedheha,ama kukupa masharti ya muda wa kurudi nyumbani nk

kitu kingine kilichonikimbiza nyumbani ni baada ya kutokuwa na kazi ,hivyo mimi na wadogo zangu wa kike tunaonekana sawa tu,heshima yangu kwa kiasi inashuka, unaweza kuta hata jina la kaka linapotea,kuonesha you are a man and fighter,ilinilazimu nipange ili kurudisha heshima yangu na tangu hapo nimekuwa hadimu sana nyumbani na hii imepelekea kuonekana ninathamani machoni kwao kwa marachache ninazotokea kuwasalimu.

Angalizo:maisha ya kupanga bila ishu ya kueleweka ni magumu

I agree with u,nyumba mwanaume mwenye kauli ni mmoja! Mzee akiweka sheria ya kurudi before saa sita u must obey it!hapo ni nyumbani kwake na sio kwako

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Sehemu ulikoniacha hoi ni uliposema 'unakereka', unawezaje kukereka na maisha ya mtu asiyekuhusu?

Sababu zake unazijua?

Halafu weka akilini kuwa, si kila anayekaa na wazazi wake YEYE ANAWATEGEMEA, yawezekana WAZAZI WANAMTEGEMEA YEYE. Ungekuwa unamzungumzia mtu fulani particularly ambaye unajua undani wake ningekuelewa, lakini usiwapangie watu namna ya kuishi kwa preferences zako as if unavyotaka wewe ndio sheria.

Mimi najitahidi nyumba yangu ikiisha sitapenda kukaa mwenyewe kama Mungu atanipa umri. Nitapenda kukaa na mwanangu wa kiume kwa kuwa yy hapa ni nyumbani tofauti na huyu wa kike ambaye akiolewa itabidi aende kwa mumewe.

Usipende kushabikia maisha ya watu bana. Wewe yawezekana unakaa mwenyewe sababu ya ghubu na majivuno, sababu ya nafasi ndogo ulikotoka n.k.

Na kama unajifanya ku - rule out kwa sababu hizo ni dalili za utegemezi, JE BABA YAKO AKIKUJENGEA NYUMBA SEHEMU NYINGINE, HUTAKAA ILI TU UIONESHE JAMII KUWA WEWE UNAJITEGEMEA?
 
We ni wa kike au wa kiume?

Manake tatizo hili la kufuatilia maisha ya watu wengine (umbea) ni kubwa zaidi ya hicho unachotaka kusema. Au wewe ni wa kike na jamaa anayekugegeda kakomaa anajua akichukua tu room utahamia sasa ndio unamwagika povu?

hahaha, true that mkuu. watu wambea sana apa mjini
 
Sehemu ulikoniacha hoi ni uliposema 'unakereka', unawezaje kukereka na maisha ya mtu asiyekuhusu?

Sababu zake unazijua?

Halafu weka akilini kuwa, si kila anayekaa na wazazi wake YEYE ANAWATEGEMEA, yawezekana WAZAZI WANAMTEGEMEA YEYE. Ungekuwa unamzungumzia mtu fulani particularly ambaye unajua undani wake ningekuelewa, lakini usiwapangie watu namna ya kuishi kwa preferences zako as if unavyotaka wewe ndio sheria.

Mimi najitahidi nyumba yangu ikiisha sitapenda kukaa mwenyewe kama Mungu atanipa umri. Nitapenda kukaa na mwanangu wa kiume kwa kuwa yy hapa ni nyumbani tofauti na huyu wa kike ambaye akiolewa itabidi aende kwa mumewe.

Usipende kushabikia maisha ya watu bana. Wewe yawezekana unakaa mwenyewe sababu ya ghubu na majivuno, sababu ya nafasi ndogo ulikotoka n.k.

Na kama unajifanya ku - rule out kwa sababu hizo ni dalili za utegemezi, JE BABA YAKO AKIKUJENGEA NYUMBA SEHEMU NYINGINE, HUTAKAA ILI TU UIONESHE JAMII KUWA WEWE UNAJITEGEMEA?

Ulivyozaliwa baba ako alikuwa anakaa kwa babu yako?hoja sio kukaa kwenye nyumba ya mzee,hoja ni kukaa nyumba moja na mzee mtu na mindevu yako miaka 35!

Mzee akikupa nyumba ukae sio kitu kibaya.

Imekuchoma sana mkuu samahani kama imelenga ukweli,naona unatoa povu! We kaa hapo kwa mama na ukioa leta mkeo hapo hapo!

Si ndo maisha yenu ya kihindi hao! Vijana wa siku hizi mnaogopa maisha! Wazee wetu wangekuwa hivyo we hadi leo ungekuwa unakaa kwa babu!

Kakomae mtoto wa kiume achia dada zako wakae home wasubiri kuja kuposwa sio wewe!

Wazazi kukutegemea sio lazma ukae kwao,hata ukikaa kwako wanaweza wakawa wanakutegemea na unawasaidia vilevile!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
hahaha, true that mkuu. watu wambea sana apa mjini

Ukweli unauma!
Najua mko wengi!

Mommy pilau tayari? Shenzi kabisa kaza mtoto wa kiume!


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Utamaduni wa mwafrika:
Kama tunafata utamaduni wetu hilo suala enzi hizo halikuwepo!balehe tu unasepa home faster unaenda kujitegemea.

Utamaduni wa magharibi:
Hata kama mnajifanya mnaishi kimagharibi ila hata wao hawasupport huo -----!
Anyway it is just a movie but it reflects the reality,take your time to find and watch it:

http://en.m.wikipedia.org/wiki/Failure_to_Launch


Utamaduni wa kihindi:
Huo ndio unasupport hiyo.so kama umeaffectika kwa ajili unakaa mazingira yenye wahindi wengi bas sawa nimekuelewa.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
kumbe JF ina wavulana wengi sana , wanapenda kulelewa wewe na miaka 30+ unalalia kitanda cha baba alichokunulia wakati umekua kidogo ukahama chumbani kwake? ptuuuuuu
 
Habari zenu wakuu!
Huwa kuna jambo linanichanganya kweli!unakuta kijana wa kiume amemaliza chuo kikuu,anafanya kazi kwa miaka kama mitatu hivi ila cha kushangaza bado anakaa kwa wazazi!kibaya zaidi wengine unakuta wanakaa kwa ndugu very comfortable! Kinachonikera hawa vijana ndo wa kwanza kujishaua mjini hapa kwenye starehe!
Anyway labda mimi najudge vibaya ila wenzangu kijana kama huyu mnamchukulia kama mwanaume au mvulana?!

Kiwa leta sred ingine tuwatambuwe humu jamvini! Cheki wanavyong'aka!! tehe tehe tehe!!!!!!!!!!
Uliza uambiwe JK Nyerere aliondoka kwa Baake akiwa na umri gani! Kitu miaka 39 tu Waziri Mkuu, 40 Rais.
Chezea vidume wewe!!!!!!!!
 
Halafu weka akilini kuwa, si kila anayekaa na wazazi wake YEYE ANAWATEGEMEA, yawezekana WAZAZI WANAMTEGEMEA YEYE.

Unajuwa ukichekecha mbegu za mahindi ili ukapande, kinachobaki ndio mali kilichopita feki! usidhani kila ukichekecha basi kinachopita ndo mali
We Baabako ameweza kujenga akakusitiri, leo hii ionekane anakutegemea? Du!!!!!!!?
Kwanza wangekutegemea wewe lazima ungehama hapo home!
 
Kiwa leta sred ingine tuwatambuwe humu jamvini! Cheki wanavyong'aka!! tehe tehe tehe!!!!!!!!!!
Uliza uambiwe JK Nyerere aliondoka kwa Baake akiwa na umri gani! Kitu miaka 39 tu Waziri Mkuu, 40 Rais.
Chezea vidume wewe!!!!!!!!


mkuu ngoja niwaache maana wanashambulia vibaya mno. lengo langu ni kujua tu wangapi wako kwa baba bado na nimeshawajua. wana hasira usipime.

nyerere akiwashika hawa anaweza akawachapa viboko aise.
 
Unless wazazi (au mzazi) wako anahitaji uangalizi maalum na wewe pekee ndie unayeweza kufanya hivyo, mtoto wa kiume unatakiwa kuhama kwenu unapokuwa na uwezo wa kujitegemea. Kwa kufanya hivyo utakuwa unajijengea heshima, utajifunza kuwa responsible hata utapoanza familia haitakushinda na muhimu kuliko vyote utakuwa HURU.
 
Back
Top Bottom