Mwanaume kukaa kwa wazazi!

Mwanaume kukaa kwa wazazi!

unajua mabinti wengi hawapendi wawaone wanaume wanakaa kwao, wanapenda mwanamme apange ili awe anakuja kumsalimia mwishowe ahamie. mimi binafsi nimemaliza chuo mwaka 2009 niliajiliwa mwaka 2010 Feb. na kampuni kubwa tu. nimekaa home nimewasidia sana wazazi wangu pamoja na wadogo zangu. mpaka mwaka 2013 march nilipoamua kuoa na kuhama home. na kuanza maisha mapya na mke wangu. mabinti wengi , hasa wale nilikuwa nadate nao walikuwa wananisemea mbovu wakati ule nahishi na wazazi wangu.

As u said nakubaliana na wewe,kama ulikuwa na malengo yako safi!ila kama kuuza sura tu hapo hamna akili

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
unajua mabinti wengi hawapendi wawaone wanaume wanakaa kwao, wanapenda mwanamme apange ili awe anakuja kumsalimia mwishowe ahamie. mimi binafsi nimemaliza chuo mwaka 2009 niliajiliwa mwaka 2010 Feb. na kampuni kubwa tu. nimekaa home nimewasidia sana wazazi wangu pamoja na wadogo zangu. mpaka mwaka 2013 march nilipoamua kuoa na kuhama home. na kuanza maisha mapya na mke wangu. mabinti wengi , hasa wale nilikuwa nadate nao walikuwa wananisemea mbovu wakati ule nahishi na wazazi wangu.

Kaone unawaza kugegeda tu kwa mikopo, na kwa taarifa yako ndoa yako iko mashakani majukumu yatakapoanza, kumbe we ndo machi hii umeanza kujitegemea? Vipi king'asti anakichefuchefu au ndo mpaka amalize masters?
 
pilipili usoila yakuwashia nini?kwani kukaa kwa wazazi kuna nini bana.hii thread inamfaa sana le mutuz

Mmh walewale!kumbe mko wengi eh?!

Kuanzia leo comments zenu ntakuwa nazitreat special

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Wanapenda vya kunyonga haoo! Na kugegeda kwa mikopo!!
Kakuhonga saaaana kilo, kwa manung'uniko kichizi.
Kuvaa wanashindana na mabinti! Kazi kunukia tu kama majini!

Afu nimegundua humu JF wako wengi sana!shobo nyingiiiiiii afu wa kwanza kupigania kiporo na wadogo zake

Ndo mana wanatiaga mimba mabeki 3

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Ukishamaliza college hutakiwi kukaa na parents

Waambie hao!sio kukimbilia kununua altezza tu afu unalala kwa baba!

Kwenye nyumba kuna mwanaume mmoja tu na wengine wote ni wavulana tu!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Obama wa bongo anaesubiri mzazi akuandalie maisha?!pigana mtoto wa kiume utaposwa

Sasa wakitaka kuowa ndo utachoka, mara wapite jamiiforums mara facebook mara phonechat,
oooo nataka mchumba awe anakazi yenye kipato asiwe tegemezi!!
We ndugu yangu wanamabo hao.....
 
Kaone unawaza kugegeda tu kwa mikopo, na kwa taarifa yako ndoa yako iko mashakani majukumu yatakapoanza, kumbe we ndo machi hii umeanza kujitegemea? Vipi king'asti anakichefuchefu au ndo mpaka amalize masters?

majukumu nilikokuwa nao kabla ya ndoa yalikuwa makubwa sana, lakini namshukuru Mungu, nilipofikia wadogo zangu niliokuwa nawasomesha ndiyo wako mwaka mwa mwisho chuoni CBE wanamaliza mwezi wa saba, niliimaliza nyumba yangu, ndiyo ninayohishi sasa hiv, kweli namshukuru Mungu, pia niliwanunulia Shamba wazazi wangu kule Kigamboni Mbutu. Wazazi wangu wanafuraha na mimi nina furaha na walinipa baraka zote nilipoanza maisha mapya na wife. Jukumu niliyokuwa nayo kwa sasa ni kutunza familia yangu hii mpya ,pamoja na watoto Mungu atako tujalia.
 
Ukishamaliza college hutakiwi kukaa na parents

Inategemea Aina ya familia mkuu. kama kwenu wanajiweza kweli lakini kama wewe ndiye ulikuwa unategemewa mkuu. Lazima Uisaidie familia yako .ili wazazi wajue kwamba walimsomesha mtu ambye ana faida kwao pia.
 
Inategemea Aina ya familia mkuu. kama kwenu wanajiweza kweli lakini kama wewe ndiye ulikuwa unategemewa mkuu. Lazima Uisaidie familia yako .ili wazazi wajue kwamba walimsomesha mtu ambye ana faida kwao pia.

Kwan mkuu kusaidia wazazi lazma ukae home?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kwan mkuu kusaidia wazazi lazma ukae home?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
yaaa sio lazima ukae home ila ukiwa home utakuwa unayaona matatizo live, usisubiri wakuambie, kitu kingine mkuu ukikaa mbali na home , utaanza mala kulipa kodi ya nyumaba na gharama zingine ambazo zingekuwa msaada home. Lakini kama uko Well off . haina haja ya kukaa home utakuwa unamaliza matatizo yako Remotely. Kwa kipato nilichokuwa nacho mimi ,ningekuwa nimepanga nisinge weza kuwasidia wazazi mpaka nilipofikia kwa sasa. nilihitaji kukaa nao karibu ili kipato changu kiweze kuwasaidia,lakini nilipo oa tu nikahamia kwangu.
 
Wengine wanaoa na kuoa wakiwa home.

Kufyakwa!!!
Kitu ambacho hakiko sawa mwanamke anakuwa controlled na ndugu wote ie anaolewa na familia nzima. Ukichelewa kuamka wanasema mwanamke gani haamki alfajiri na kila utakachomshauri jamaa lazima akaulize mama au ndugu wanashaurije juu ya hilo lol. Mwanaume ukishakua jitegemeee kaaa kwako labda kama unampango wa kujenga na kisha baadae uhamie kwako , usithubutu kuoa ukiwa kwenu..
 
Waambie hao!sio kukimbilia kununua altezza tu afu unalala kwa baba!

Kwenye nyumba kuna mwanaume mmoja tu na wengine wote ni wavulana tu!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

hakyanani dunia ina vituko hiii
 
swala la kukaa nyumbani linategemea na familia kama mtu yuko comfortable na familia yake anasaidia wazazi hamna zengwe kwanini aende kupoteza pesa nyingi hivyo kwa ajili ya kupanga wakati anaweza kufanyia vitu vingine ,,,,wengi mnaoona si kitu kizuri ni kufananisha maisha mliyopitia nyinyi na kuwafikiria watu kuwa wote wanapitia maisha hayo hayo,......wengi mekuja mjini mkafikia kwa ndugu sasa ukishapata kazi kwanini uendele kukaa hapo wakati sikku nyingine alikuwa anakunyima chakula kwa sababu tu sahani uliyolia chakula ulishindwa kuosha wengine mwezi wa kwanza tu kuanza kazi shangazi yako anakwambia usioge maji ya nyumbani hapo kwa kuwa hujachota wakati anajua kabisa unaamka alfajiri kuwahi kazini na kurudi saa moja.....kwenye nyumba kama hiyo lazima uhame hata kama kodi ya nyumba hujapata......au kitanda hujanunua manake ukalale chini lakini nyumbani usipokuwepo mama hajisikii vizuri mpo wewe na mdogo wako ambaye unamsomesha college chakula wewe ndo una supply kwa kuwa mama kastaafu anakula pension baba alishafariki kitambo sasa kwa nini uhame hapo wakati nyumbani yako bado iko msingi subiri nimalize nyumba yangu ndo nitahama bwana tena nitahamia huku bado wiki moja tareh ya ndoa yangu ...........thats it

heri yenu nyie watoto wa baba wacha mimi mtoto wa mama nifaidi matunda ya mama yangu kwani unafikiri kwanini alipigana kipindi ananguvu zake ....alikuwa anataka iwe ivi muda kama huu wanawe tusipate shida ya kusumbuana na baba wenye nyumba
 
Kwa nini mtu mwingine anavyoendesha maisha yake iwe na umuhimu kwako?
 
Habari zenu wakuu!

Huwa kuna jambo linanichanganya kweli!unakuta kijana wa kiume amemaliza chuo kikuu,anafanya kazi kwa miaka kama mitatu hivi ila cha kushangaza bado anakaa kwa wazazi!kibaya zaidi wengine unakuta wanakaa kwa ndugu very comfortable!

Kinachonikera hawa vijana ndo wa kwanza kujishaua mjini hapa kwenye starehe!

Anyway labda mimi najudge vibaya ila wenzangu kijana kama huyu mnamchukulia kama mwanaume au mvulana?!




Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Wazazi wengine hawataki uondoke
 
Kama katika nyumba ya mzazi kuna nafasi kwa nini kijana wake asikae?

Sana sana akishaoa si vizuri kuendelea kukaa na wazazi labda kama kuna nyumba mbili tofauti.
 
Back
Top Bottom