Mwanaume Kujenga Nyumba Kiwanja cha Mwanamke!!!!! Ni busara kweli?

tatizo liko wapi?

Au ndo ndoa za siku hizi? Chako chako changu changu?

Uliza weye mamii!
sijui lakini mambo ya kuoana na kubaki kusema hili gari langu ,hiki kiwanja changu,ile nyumba yangu au lile gari sijui kanipa baba !hii theory kwangu haipo!
inategemea ndoa yao ipo kiaje!lakini sidhani kama ni sahihi kuendeleza vielezi vimilikishi hata baada ya ndoa!
inaruhusiwa kweny kusema maneo haya tu
MKE WANGU au MUME WANGU!
 
si busara bana labda unamsaidia tu mkeo kujenga , zawadi ya mke haiwezi kua ya familia labda anunue aseme cha familia hivyo kibadilishwe hata hatimiliki

Tunaelwkezwa mali zinazohusika mgao ni zile zilizoanza kupatilana baada ya ndoa kwa hapo nyumba itagawanywa lakini sio kiwanja
 
Kuna mtu hapa kwenye viti virefu anajipongeza kwa kujenga nyumba mwaka 2012 na anakribia kuhamia kwenye kiwanja cha mkewe Mbweni Hukooo! Anadai sio nyumba ila Jumbaaa!

Hivi kweli nyie Men of Today ni busara hiyo kujenga kwenye kiwanja cha mkeo cha zawadi ya harusi? Ukute hati ya kiwanja iko kwa baba mkwe! Mnakoelekea i can oly pray for you!

.....ni sawa na kuugua malaria kali halafu dose ya dawa anakunywa mkeo.
 
Kuna mtu hapa kwenye viti virefu anajipongeza kwa kujenga nyumba mwaka 2012 na anakribia kuhamia kwenye kiwanja cha mkewe Mbweni Hukooo! Anadai sio nyumba ila Jumbaaa!

Hivi kweli nyie Men of Today ni busara hiyo kujenga kwenye kiwanja cha mkeo cha zawadi ya harusi? Ukute hati ya kiwanja iko kwa baba mkwe! Mnakoelekea i can oly pray for you!

Mi niulize kwanza: Inakuaje wakati watu wawili wanapooana, mwanamke ndo wa kwanza kuwa na mawazo ya kuachana na kugawana mali?
 
Mbona kawaida sana hyo ila mwenye hati ndo mwenye property na ndo mjanja
Hakuna kawaida hapo, over my dead body siwezi kufanya upuuzi huu, ila niko tayari kumjengea Mwanamke nyumba yake kama pesa inaruhusu.

kama mpo kwenye ndoa haina shida kwani itahesabika miongoni mwa mali mlizochuma. Ila kama ndo small house count imekula kwako

Kweli ndoa changa zinasumbua !!
Zawadi za siku ya harusi zote ni zenu hakuna za bibi wala za bwana
Cause nyie mshakuwa mwili mmoja badilisheni mtazamo wakubwa nyie !!

tatizo liko wapi?

Au ndo ndoa za siku hizi? Chako chako changu changu?

Sioni ubaya mwenzenu coz ur no longer two but one. Unless otherwise u don mean business ....
Ujinga huu, au labda kwa umri wenu hamjakomaa akili bado mnaamini mke wako ni ndugu yako wakati si kweli kabisa. Mwanamke si ndugu yako.
 
Hakuna kawaida hapo, over my dead body siwezi kufanya upuuzi huu, ila niko tayari kumjengea Mwanamke nyumba yake kama pesa inaruhusu.








Ujinga huu, au labda kwa umri wenu hamjakomaa akili bado mnaamini mke wako ni ndugu yako wakati si kweli kabisa. Mwanamke si ndugu yako.

sawa mwerevu ulokomaa akili!
 
Lara1, uliloliandika lipo kabisa, nikama unemuona rafiki yangu mmoja ambaye nae anajenga kwenye kiwanja cha "My wife wake" halafu anajigamba kweli. Ni nyumba yake ya kwanza na kweli tofauti ni kwamba mke wake alinunua kabla yawajafahamiana. Alivyomuoa ndo akamwambia kwamba anakiwanja. Jamaa akachangamkia tenda haraka sana. Lakini, ninachojiuliza ni kwamba, je kuna ubaya gani? Maana ndoa si hadi mmoja afe? Kwanini wanawake wakiolewa wanaweka mguu mmoja nje ya ndoa? Kwanini wanawake wapende sana mali kiasi hiki?
 
hata siku mkiachana unaboa nyumba unamwachia kiwanja au inakuwaje hapo nimebaki njia panda kwa sababu huwez kuishi bila kugombana ktk maisha.
 
Kikubwa ni kuelewana na kuheshimiana mambo ya mali ni vitu vya kupita tu!
 
Kuna mtu hapa kwenye viti virefu anajipongeza kwa kujenga nyumba mwaka 2012 na anakribia kuhamia kwenye kiwanja cha mkewe Mbweni Hukooo! Anadai sio nyumba ila Jumbaaa!

Hivi kweli nyie Men of Today ni busara hiyo kujenga kwenye kiwanja cha mkeo cha zawadi ya harusi? Ukute hati ya kiwanja iko kwa baba mkwe! Mnakoelekea i can oly pray for you!
usiwe na imani dhaifu...kama kiwanja kilitolewa wkt w harusi ni pocbo kua kilikua joint property..usiwe na negativity hata wakiachana kuna kitu kinaitwa matrimonial property watu wanasplit hiyo nyumba court..bhana
 
Hiyo imekaa awkward sana. Nina jamaa yangu moja **** kweli, limefanya makosa hayo hayo.
Sasa hivi ndoa ina mgogoro, ana hanya ki nouma. Hana raha na life, ameamua kujilipua na viroba tu kila kukicha.
Hii sana sana inatokana na kukwepa gharama za kununua kiwanja na kupagawika na mapenzi moto moto ya mwanzo wa ndoa - ("jamani d kiwanja si kipo pale home tena cha bure tu, kwanini upoteze pesa kununua kingine!. Hizo pesa zitasaidia kuinua msingi").
 
Je angepewa hiyo zawadi endapo asingeolewa? if no then it means ni sahihi kwa men kujenga nyumba kwenye hilo eneo
 
Mi niulize kwanza: Inakuaje wakati watu wawili wanapooana, mwanamke ndo wa kwanza kuwa na mawazo ya kuachana na kugawana mali?

anathink kwa niaba ya watoto, hao wababa hata mkiachana anawaza atafute mrembo amstareheshe na si watoto, adui namba moja wa mwanamke ni mwanamke
 
Lara 1 usihofu kabisa!! Siku wakiachana kila kitu kinawekwa wazi mlichochuma pamoja na vile binafsi, vingi kabla ya ndoa!! Any development kwenye old property ambayo was owned na single part!!! Ila hapa ni lazima umkute hakimu na wakili wa anayedai machachari maana wakifuata sheria wanaangalia owner wa awali!!! Kwa mke haina tabu sana, wew thubutu ukajenge cha kimada, imekula kwako!!! Hata uende mahakama ipi duniani hakuna evidence maana no marriage certificate!! Wale wanaume vichwa maji na mimi tuwe makini sana!! Ila pia hiyo hati kama bado ilo jina la baba ni shurti wahamishe ownership maana nalo hili ni ngumu zaidi!!! Dah mambo mengine ni bora kufanyia utafiti wa yatokanayo kabla ya commitment!! But Lara 1 si u know love is blind!!! Ha ha siku ikiwa love inaona basi likitimbuka ndipo unabaki kunena Jesus! Ohhh my God,....my Gracious..ooooooh nimekwisha!!
 
Hivi katika ndoa kuna 'cha mke' na 'cha mume'? Jamani! Tunakoelekea itakuwa 'mtoto wa kwanza wako na wa pili wangu' kwann mkiwa kwenye ndoa mfikirie 'itakuwaje mkiachana'? Yanini kuoana sasa? Naitamani sana ndoa ya wazazi wangu!
nINI NYUMBA JAMANI? KAMA MWILI MNA SHARE UNASHANGAA NINI KUMJENGEA MKE WANGU NYUMBA?
 
anathink kwa niaba ya watoto, hao wababa hata mkiachana anawaza atafute mrembo amstareheshe na si watoto, adui namba moja wa mwanamke ni mwanamke

Hayo ni mawazo potofu, kuna watu walifiwa na wake zao hadi leo hawajaoa na wanatunza watoto. One has to think beyond the box!
 
Back
Top Bottom