Mwanamalundi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,125
- 1,432
Siwezi kufanya jambo la kijinga, la ulimbukeni, kipumbavu na la kipuuzi kama hilo. Labda nirogwe. Siwezi jenga kwenye kiwanja cha mke wangu.
seems your not a wife material...your selfish....mkiwa kwenye ndoa usifikirie kuachana,ukianza hivo baadae utafikiria mkiachana itakuwaje na utaishia kutofanya mambo ya maendeleo kwa kuogopa kugawana mkiachana..au utafanya investment kwa siri na siku mwenzio akigundua ndoa inaanza kuyumba...nyie wadada wa siku hizi mko materialistic sana...changu changu...chako changu..Kuna mtu hapa kwenye viti virefu anajipongeza kwa kujenga nyumba mwaka 2012 na anakribia kuhamia kwenye kiwanja cha mkewe Mbweni Hukooo! Anadai sio nyumba ila Jumbaaa!
Hivi kweli nyie Men of Today ni busara hiyo kujenga kwenye kiwanja cha mkeo cha zawadi ya harusi? Ukute hati ya kiwanja iko kwa baba mkwe! Mnakoelekea i can oly pray for you!
Kwa kweli kwa hoja hii wewe binti unaonyesha a high degree of maturity! GudluckInaboa bana, jitu limepata uwezo wa kujenga, badala lijikwamue moja kwa zote linafanya blander kama hiyo, siku akifurumushwa anaanza kutubana kwenye vibanda vyetu vya kupanga!