Mwanaume kudharaulika na mwanamke ni uzembe

Mwanaume kudharaulika na mwanamke ni uzembe

s
Wakati na kua nilikua namuona mzee wang mkorofi sana na bi mkubwa alikua analalamika mzee mtata!! Sasa nimeingia uko nataona kumbe mzee alikua sahii kabisa na mimi napita mulele acha waseme vyakurithi vinazid lakin ndo njia sahii kuweka heshima ya family
same story bro
 
Hili neno linatumikaga vibaya sana wakati mwingine!
Mwanaume unafanya mambo yasiyo sawa unataka uchekewe tu et kisa Mungu alisema utamtawala mwanamke.
sidhani kama alimaanisha utawala wa Mfalme na mtumwa bali Mfalme na Malkia wake
Unaposema utawala umemaanisha mmoja kua mtumwa wa mwingine hakuna malikia hapo nipo huku musoma hatutakagi hiyo misamiati yenu ya kudekekzwa na dharau
 
Siku zote mwanamke anapaswa kuwa chini ya mumewe kwa kumtii na kumheshimu kinyume na hapo ni kwenda tofauti na maandiko ya dini yasemavyo.Na enyi wanaume wapendeni wake zenu ili wawatii na kuwaheshimu
 
Hata bila kumkojoza wewe atakojoa mwenyewe. Mnapoammbiwa mwanamme rijali basi muelewe urijali una mambo mengi zaidi ya kukojozana.

Inasikitisha sana fikra yako ndipo ilipoishia hapo.
Sio kuwa fikra imeishia hapa LA!? Bali ndio wengi wa wanawake wanapokimbilia pale wanapotaka kuvunja urafiki na mwanaume na hakuna sababu basi hudai anikojozi. Bila shaka hata wewe ukisoma kwa makini comment yako utagundua kuwa ulimaanisha kumridhisha kitandani
All in all hakuna kidume rijali asiyependa kuwajibika kwa mpnz wake tatizo linakuja mafanikio yanapochelewa au pesa unayompatia kuwa hailingani na tamaa yake
 
[emoji16] True bt atakama unakuwa kigongo basi ujiongeze jitaidi uishi nao kwa akili nyingi mana akikuzidi iyo nayo shida kwakwel...utaacha wote lazima uwe juu kidogo ata katika kupambanua mambo,weledi...[emoji4]
 
Siku zote hawa wanatakiwa kuwa chini ya wanaume.Hawakuumbwa na Mungu hawa bali wametokana na ubavu wa mwanaume! Someni maandiko fresh
 
Ukimpenda, ukimlinda na kumuheshimu haya yoote utayasikia kwa jirani tu...! Mume si mtawala Bali ni rafiki,msiri na faraja ya mwanamke....!! Ukinifyatu nakufyatua tu hakuna namna
Nakuonea huruma sana!
 
Ukimpenda, ukimlinda na kumuheshimu haya yoote utayasikia kwa jirani tu...! Mume si mtawala Bali ni rafiki,msiri na faraja ya mwanamke....!! Ukinifyatu nakufyatua tu hakuna namna
Duuh yaan wew ndo ungekuwa mke wangu, haki ya nani sikupi taraka na lazima ungenyooka....yaani we unapelekwa kimafia hadi ungeomba poo.... Weee
 
"HAKUNA NDOA YENYE DEMOKRASIA IKADUMU"

Noted

Hizi ndizo thread zenye faida,
Mara nyingi huwa sitoi like kizembe kizembe ,
Mkuu nimekupa like.
 
Hakika mkuu hawa viumbe hawa ni hatar sna licha kuumbiwa Kama ni starehe kwetu ila mwenyez mungu mwisho alituambia tuiyogope dunia na tuwaogope wanawake hakika vitimbi vyao ni zaid ya shetani ukisema unawapa mamlaka wanakugeuza mbuzi na kukulisha majani na kamba ya pua dawa yao akizngua unamuonesha who's the leader
 
Hakika mkuu hawa viumbe hawa ni hatar sna licha kuumbiwa Kama ni starehe kwetu ila mwenyez mungu mwisho alituambia tuiyogope dunia na tuwaogope wanawake hakika vitimbi vyao ni zaid ya shetani ukisema unawapa mamlaka wanakugeuza mbuzi na kukulisha majani na kamba ya pua dawa yao akizngua unamuonesha who's the leader
Unaweza kujikuta unakonda tu kila siku
 
Back
Top Bottom