Yeah na hasa hawa waliokulia mboga saba na kusoma academy is a take ta milalamiko mingi na viinglish vyao vya kubana pua-hopeless sana hawa.Tatizo sio wanawake, tatizo liko kwa wanaume wa kizazi hiki. Kitu kidogo tu kashaleta mabandiko humu wao wenyewe hawawezi kusimama kama baba wa familia
Uko sahihiMwanamke gonga mpaka aseme nimechoka
Hata ukimwambia ondoka haondoki ng'ooo
Hata ukimdunda ataenda atareudi kwako amefika
Lkn usipomkaza kisawasawa lzm akuzalau
Sikiliza dada mmoja mwenye watoto wanne aliniambia sijawahi kufanywa hivo maishan mwangu anamdharau mume kuliko napiga kila aina ya nyimbo amweshim wapi?
Na hawa walioko kwenye mitandao yote ya kijamii, hawana hata muda wa kuisimamia familia kwa nini mwanamke asiwe kichwaYeah na hasa hawa waliokulia mboga saba na kusoma academy is a take ta milalamiko mingi na viinglish vyao vya kubana pua-hopeless sana hawa.
....sisi tuliokulia na kusomea shule zenye kujua nini nafasi ya mwanaume ktk jamii hatuna huo ujinga hata kidogo.
Mkuu Uko wapi kwa sasa?Na hawa walioko kwenye mitandao yote ya kijamii, hawana hata muda wa kuisimamia familia kwa nini mwanamke asiwe kichwa
Umeongea vyema Mkuu FaizaFoxy.kombaME
siraha = silaha
Mwanamke hakudharau hata siku moja kama u rijali wa kweli, uwe au usiwe na mali.
Ukiwa humtimizii unyumba hata uwe na mali vipi utadharaulika tu.
Wanaume wa siku hizi ni majipu.Thread nzuri sana, hongera mwandishi kwa kutukumbusha maana wanawake wasikuhizi pasua vichwa.
Daah mimi nikikutana na mwanamke wa kunidharau fasta nakimbia huwaga sitakagi dharau mimiNatumaini wazima humu!!
Ipo hivi mwanamke hata akikuzidi elimu, kipato au chochote kile sio sababu ya kukudharau, wanaume tumepewa siraha directly kutoka kwa Mungu tangu siku ile ambapo nucleus ya sperm ilipoungana na nucleus ya ovum through fertilization na kuunda male zygote, silaha tuliyopewa ni KUTAWALA, Biblia inasema wazi paleambapo Mungu anampa adhabu Eva alimwambia hivi''tamaa yako itakuwa kwa mumeo naye ATAKUTAWALA'',
Hata mtume Paulo kt nyaraka zake alisema''MWANAUME AMPENDE MKE WAKE KAMA KRISTO ANAVYOLIPENDA KANISA'' alafu akasema kwa wanawake''MWANAMKE 'MTII' MUMEO KAMA UNAVYOMTII KRISTO'', unaweza ona mwenyewe utofauti wa 'kupenda' na 'kutii', kutii ni kuwa chini ya mamlaka inayokupa amri.
Sasa wanaume wengi siku hizi wanakosa hayo mamlaka ya'KUTAWALA' na sababu kubwa ni kutojiamini tu, wewe ni mwanaume, wewe ni kichwa acha kupelekwa pelekwa, ipo hivi unatakiwa kutoa maamuzia ambayo mke wako anatakiwa either afuate au aondoke sio unabadili badili maamuzi eti kisa mkeo amenuna, itageuka yeye ndo atakutawala wewe.
Ukisema familia yangu inaenda this way ni this way kweli, kama hataki aende zake kuliko kumpa mtoto wa kike akutawale tawale baadae unakuja na thread ndefu kulalamika humu, acha kuwapa wapa nafasi ya maamuzi hawa viumbe vitakusumbua sana.
Na kikubwa nikuwa maamuzi yako yawe yenye weledi, lazima atakuheshimu na ukisema kitu huyoooo ananyoosha kufuata, sio unabishana bishana na mkeo kama we ni mke mwenzake bhana, hata wao wanapenda wanaume wenye mamlaka ndani ya nyumba, usiige ulaya wale wamefundishwa hivyo tangu utoto lakini hawa wa kwetu ukiwapa nafasi kidogo tu ya kukutawala you are finished.
''HAKUNA NDOA YENYE DEMOKRASIA IKADUMU''
hawa viumbe ukiwapa nafasi moja ya kukuendesha watataka na nyingine, na nyingine, na nyingine zaidi mwisho unakuwa we mwanamke alafu yeye mwanaume a.k.a unakuwa mume bwege.... USISEMA HUKUAMBIWA........
Sio kwa wanawake wa kileo Faiza kwani tamaa imewajaa na unaweza kumkojoza mara 10 kwa siku bado atakudharau na kuona huna mchango kwake. Hata babu zetu pia waliteswa na bibi zetu ila sisi ni balaa.kombaME
siraha = silaha
Mwanamke hakudharau hata siku moja kama u rijali wa kweli, uwe au usiwe na mali.
Ukiwa humtimizii unyumba hata uwe na mali vipi utadharaulika tu.
Kama hutaki kutawaliwa oa wa kwako umtawale!Hili neno linatumikaga vibaya sana wakati mwingine!
Mwanaume unafanya mambo yasiyo sawa unataka uchekewe tu et kisa Mungu alisema utamtawala mwanamke.
sidhani kama alimaanisha utawala wa Mfalme na mtumwa bali Mfalme na Malkia wake