True brohSio kwa wanawake wa kileo Faiza kwani tamaa imewajaa na unaweza kumkojoza mara 10 kwa siku bado atakudharau na kuona huna mchango kwake. Hata babu zetu pia waliteswa na bibi zetu ila sisi ni balaa.
Yameshanikuta naongea kwa ushuhuda kwani nilifanyiwa jambo la ajabu na mdada kisa nilimpenda na kila nilipokutana nae aliridhika tena kwa ushahidi dhahiri maana mwanamke hawezi nificha kama amefunga goli au la? Tamaa itawaua
Sio kwa wanawake wa kileo Faiza kwani tamaa imewajaa na unaweza kumkojoza mara 10 kwa siku bado atakudharau na kuona huna mchango kwake. Hata babu zetu pia waliteswa na bibi zetu ila sisi ni balaa.
Yameshanikuta naongea kwa ushuhuda kwani nilifanyiwa jambo la ajabu na mdada kisa nilimpenda na kila nilipokutana nae aliridhika tena kwa ushahidi dhahiri maana mwanamke hawezi nificha kama amefunga goli au la? Tamaa itawaua
*Mnapoammbiwa= MnapoambiwaHata bila kumkojoza wewe atakojoa mwenyewe. Mnapoammbiwa mwanamme rijali basi muelewe urijali una mambo mengi zaidi ya kukojozana.
Inasikitisha sana fikra yako ndipo ilipoishia hapo.
Mwanaume si mtawala ,mwanaume ni kiongozi juu ya mwanamke,Hili neno linatumikaga vibaya sana wakati mwingine!
Mwanaume unafanya mambo yasiyo sawa unataka uchekewe tu et kisa Mungu alisema utamtawala mwanamke.
sidhani kama alimaanisha utawala wa Mfalme na mtumwa bali Mfalme na Malkia wake
kiongozi yoyote anapokosa sifa za uwongozi..Tangu enzi.. mwanaume kiongozi.. ukiona mwanamke anataka kukupanda juu ujue kuna walakini
Teh teh teh teeeeh!!Sio kwa wanawake wa kileo Faiza kwani tamaa imewajaa na unaweza kumkojoza mara 10 kwa siku bado atakudharau na kuona huna mchango kwake. Hata babu zetu pia waliteswa na bibi zetu ila sisi ni balaa.
Yameshanikuta naongea kwa ushuhuda kwani nilifanyiwa jambo la ajabu na mdada kisa nilimpenda na kila nilipokutana nae aliridhika tena kwa ushahidi dhahiri maana mwanamke hawezi nificha kama amefunga goli au la? Tamaa itawaua
Unaongea na wanaume wa sayari gani?Naaam nimefarijika sana na uzi huu, wanaume tunatakiwa tujue nafasi yetu sio kulia lia na kukaa kinyonge.
Na maisha ndio yanavo takiwa yaende
Mpaka upinduliwe unakuwa wapi? Lazima ujue kila kitu kinachoendelea... ili hata likitokea vuguvugu... una zima hilo jaribio.kiongozi yoyote anapokosa sifa za uwongozi..
Basi kinachofatia ni kupinduliwa
HahahahaUnaongea na wanaume wa sayari gani?
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Detective J:Mpaka upinduliwe unakuwa wapi? Lazima ujue kila kitu kinachoendelea... ili hata likitokea vuguvugu... una zima hilo jaribio.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahaha
Wewe hutuoni vidume hapa tumetulia eeeh
Ndio na sisi tulikuwa tuna peana maelekezo hapa, nyie tukisha wachekeaga mnatuzoea. Nadhani Magufuli style ndio ina faa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Vidume havilalamiki hata kidogo maana wanajitambua.
[emoji23] [emoji23] [emoji120] asante, huyo mwanamke ni shujaa sana na Dawa kwa wanaume wasumbufuUmenikumbusha leo nipo sehemu, mwanamke anapigiwa simu na bwana wake
Akasema : eeh sema shida yako. Kwani unataka nini? Nipo njian naenda hospital. Sikusikii bwana. Akakata simu.
Nilijitafakari saana.
Mmmh,[emoji23] [emoji23] [emoji120] asante, huyo mwanamke ni shujaa sana na Dawa kwa wanaume wasumbufu