Mwanaume, kiumbe adimu aliye hatarini kutoweka

Mwanaume, kiumbe adimu aliye hatarini kutoweka

bigup mkuu, kwanza nimependa tittle ya uzi " mwanaume, kiumbe adimu aliye hatarini kutoweka" ni kweli kabisa, mwanaume anatuomba ushauri tumchagulie zawadi ya kumpa mpenzi wake ktk birthday ya mpenziwe. wanaume wanazidi kutoweka kila siku kama faru na tembo wanavyopunguzwa na majangiri. tamaa sana, kupenda kuweka maisha yetu hadharani, mfano una kasherehe kadogo tu video unaipost fb, insta.
naomba viumbe wenye jinsia ya kiume tuishi kama wanaume kweli, tuitendee haki jinsia hii ambayo Mungu aliithamini hata akaikabidhi milki ya viumbe vyote vya ardhini, angani na baharini. Huu uzi ni best of the week
 
Acheni kuturudisha miaka ya nyuma Mwanaume kutumia minguvu,ukorof,ubabe na ukali wa kijnga....mwanaume wa sasa anatumia zaid akil kuish kiteknologia,,,ndio maana tulifanywa watumwa na wazungu kwa kukosa akili
Men Wa kwel Dyudyu ifanye kaz na akil kwakichwa
acha hizo mkuu ! kuhifadhiwa na majimama na kutumia akili, usisifie vitu negative, kuna vitu havitabadilika kamwe itabaki na mwenendo uleule wa kizamani ili kutunza asili na heshima yake. mwanaume anajipodoa, anashusha suruali matako nje ndo kutumia akili huko. mwanaume anakuwa shoga ndo kutumia akili huko.
 
hahahaha comments hizi
miaka inavyozidi kwenda wanaume wanazidi kupungua
 
Labda kazi yako ni kubeba zege mzee so usitake kila mtu ale dona asubuhi wakati sio official breakfast
Hovyoooo ndo mana mnapigiwa wake zenu, official breakfast eeeh pole Sana mvulana, mtagongewa sana
 
kwahiyo hivi viumbe vinatoweka na vile vingine itakuwaje maana tunaishi symbiotically?
 
nyoko zenu na nyie mwanaume bado hafanani na nyie tutaendelea kuwaongoza mnatuletea za beijing ndio maana hata uwe na pesa vipi unamtafuta akuongoze majimama hayawezi kujiongoza yanamfuata leader men mpo hapo
Janaume zima linaagiza chips yai Na soda, kitandani zero, ndo mana tunazaa Na wala Dona tukiwa ndani ya ndoa zenu, nyokoliloo
 
Janaume zima linaagiza chips yai Na soda, kitandani zero, ndo mana tunazaa Na wala Dona tukiwa ndani ya ndoa zenu, nyokoliloo

Nyokolilo uhuni wenu tu unawapeleka huko unagegedwa mpaka unakojoleshwa bado unachepuka tu sijui mpoje nyie hamridhikiiiii UNAWEZA UKALA CHIPSI LAKINI MZIKI WAKE HUO usiuchezeee hahahahah sema na sisi vichpsi vya nini 😵😵😵
 
ha
Janaume zima linaagiza chips yai Na soda, kitandani zero, ndo mana tunazaa Na wala Dona tukiwa ndani ya ndoa zenu, nyokoliloo
hahahaha ndevu siyo kipimo cha uanaume mtu anaweza akawa na ndevu mwili mzima lakini bado ni mtoto wa kiume tu. au mvulana.
 
ha

hahahaha ndevu siyo kipimo cha uanaume mtu anaweza akawa na ndevu mwili mzima lakini bado ni mtoto wa kiume tu. au mvulana.
hahahaha nawewe team chipsi mkuu mbona unakitetea sana chakula cha watoto wa kiume? aka team zero in bed😵😵😵😵
 
Hovyoooo ndo mana mnapigiwa wake zenu, official breakfast eeeh pole Sana mvulana, mtagongewa sana
Yaani mwanaume unawaza kutombana tu hivi unadhani duniani kote wanakula hiyo dona yako.Usiwe na mawazo mgando kijana . Triumph hawapendi watu kama wewe mnao waza ngono tu tu. Nile dona asubuhi halafu nakaa tu ofisini ili iweje.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom