Mwanaume KAMILI

mhhh! lizzzzzzy,
I dnt get a picture of ur hero man,,,,,,his fulls wth all...or some..or nothig...
If......not: KIUNGWANA BILA SHOCK...UMEOLEWA LIZZY?
 
mhhh! lizzzzzzy,
I dnt get a picture of ur hero man,,,,,,his fulls wth all...or some..or nothig...
If......not: KIUNGWANA BILA SHOCK...UMEOLEWA LIZZY?

Hahahaha kiungwana bila shoku ummm hapana.
 
Hii nimeipenda kwa kweli, nimepata picha the type of mwanaume wapenda.... Ulie mdiscribe yupo Perfect, In reality ni ngumu saana kumpata but wenye bahati zao wanapata, na hopefully utawa mmoja wao.....

Kwa upande wangu Mwanaume kamili ni yule ambae ananielewa ipasavo na on top of that ananijali mno hata kama hajanipenda mno! akinielewa ipasavo atajua nini nataka, wakati gani nataka hicho kitu; Atanijua tabia zangu zoote, nikiwa sad/emotional/sensitive/happy/horny/depressed - na atatafuta njia mbadala wa kunifanya niwe normal. In short on one to one... Atanifanya nijiskie I am special and Woman indeed. Atakua baba mzuri wa watoto wangu na kutimiza wajibu wake kama baba na Mume. Ana Utu kwa wanadamu woote sio tu wakaribu wake.....

Mwanaume kamili huendana na mazingira yoote, hana mtindo wa kuuza sura, wakati wa kazi ni wakati wa kazi! Wakati wa kuuza sura ni wakati wa kuuza sura! He is at home anywhere... iwe shamba, iwe kazini (ofisini), iwe kijiweni, iwe kwa wakwe, iwe nyumbani kwake na hasa kila chumba (i.e jikoni), iwe mbele ya kundi kubwa, iwe mkutano, He rules..... either by being a low key player or high key player.... Awe anajua ana madhaifu na asiwe muoga wa kuonesha hayo madhaifu (walau kwangu kama mpenzi wake). Ajue kua yeye ni mwanadamu kama wengine, ili a-appriciate wanadamu wali mzunguka regardless hali zao...

Mwanaume kamili ni yule mwanaume hata his fellow men wish to be like him.....
safi sana kabinti kalikoficha macho umenisisimua mpaka nikataka nikurukie kuja kushtuka kumbe avatar safiiiiiiiiiiiiiiii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom