Aahh acha basi ukiwa na mpenzi raha sana umbea unanoga hatari ila huyu ety mwanaume mwenzieMwanaume koromelo..ungebaki nayo mwenyewe habari zisingezagaa.
Mwanaume mwenzie kazingua ila mwanamke mwenzangu angebaki tu na ubuyu hakuwa na sababu ya kwenda kuupeleka kwa wengine.Aahh acha basi ukiwa na mpenzi raha sana umbea unanoga hatari ila huyu ety mwanaume mwenzie
Aahh kabsa 😅😅😅Mwanaume mwenzie kazingua ila mwanamke mwenzangu angebaki tu na ubuyu hakuwa na sababu ya kwenda kuupeleka kwa wengine.
Mwenyewe ubuyu wangu huwa namun'gunya na baby..😂😂
Yaani ipo hivyo mkuu, inakuwa mke akipata ishu yoyote anatamani mda wako wakutoka kazini uwahi aje akupe story home....Hahaha mkuu umesema kweli, wife akipata ishu yyte akifika tu lazima animwagie, yan hakai na kitu nikiwepo lazima aniambie dah
Sent from my SM-N910U using JamiiForums mobile app