Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,365
- 91,923
YeahAchana na wanaume we fanya ishu zingine
love will find you
YeahAchana na wanaume we fanya ishu zingine
love will find you
Udhaifu wako upi?Mfano mwanaume ni muongeaji sana pia mjuaji kila kitu ana kijua yeye…
Pia hakutafuti mpaka akiwa na shida zake yaani ana tumia udhaifu wako nisaidieni kujua
Katikati ya vita ngumu ya no reforms no election anaomba maji anapewa anasema anataka soda, wacha akaitafute mwenyewe hatuna muda wa kupoteza 😂.Basi utajua mwenyewe
Sikumaanisha hivyo, nilimaanisha vingine(mabo yetu yalee!)Sio mpigaji
Si umuache tuMfano mwanaume ni muongeaji sana pia mjuaji kila kitu ana kijua yeye…
Pia hakutafuti mpaka akiwa na shida zake yaani ana tumia udhaifu wako nisaidieni kujua
Basi kama ni ngumu ongeza bidii kitandani uwazidi wengine taratibu ataanza kurudisha upendoNi ngumu
Sasa hiyo ngozi utaivua auNi ngumu
Ili umpigie? 😂😂😂Sahivi yuko wapi huyo mwanaume wako?
😀😀😀 nashangaa sanaWatu wa marekani wenyewe sahivi hawatoi.....
Ndio, nimpigie tuongee ongee 😂Ili umpigie? 😂😂😂
😂😂😂😂😂Sahivi yuko wapi huyo mwanaume wako?
😂😂😂😂😂Unamaana kwamba unamlea huyo kijana! Kwamba akiwa na shida ndo anakutafuta unampa chapa anaenda kula na manzi yake hadi itakapoisha ndo utaona simu yake😀😀😀😀😀 pole mwaya ila ameona una uhitaji mnoo
Anaona red flag bado anamng'angania, baadae ashindwe kumuacha aanze upya kulialia. Mapenzi hayashauriki sometimesKatikati ya vita ngumu ya no reforms no election anaomba maji anapewa anasema anataka soda, wacha akaitafute mwenyewe hatuna muda wa kupoteza 😂.