Amekiri hawezi kuachana nae...Hakufai
Pole sana mkuu kama anakupa pesa za kumwaga vumilia tu kama hakupi pesa na ana hizo tabia muacheMfano mwanaume ni muongeaji sana pia mjuaji kila kitu ana kijua yeye…
Pia hakutafuti mpaka akiwa na shida zake yaani ana tumia udhaifu wako nisaidieni kujua
Akiwa naked anampa shoo shooUnaitwa naked?
Binti Sayuni kumbe ugonjwa wako pesa? Ngoja nizikusanye😆Pole sana mkuu kama anakupa pesa za kumwaga vumilia tu kama hakupi pesa na ana hizo tabia muache
Hivi kwanza mtu anaruhusuje kutafutwa na mwanaume wakati akiwa na shida? Anatoa misaada amekuwa watu wa marekani😀😀Sahivi yuko wapi huyo mwanaume wako?
KwakweliBasi utajua mwenyewe
Waswahili wanasema heri wali nyama vitani😁😁😁Binti Sayuni kumbe ugonjwa wako pesa? Ngoja nizikusanye😆
😜😅😅🫣Waswahili wanasema heri wali nyama vitani😁😁😁
Alikupiga kipigo cha style gani hadi ujisikie arosto kumbwaga mtu msiyeendana naye?Ni ngumu
Mpe na mk......n..d.... Kabisa kama hutaki ushauriwe, maaaaaamaeeeeeNi ngumu
Basi muuweNi ngumu