Mwanaume kama huyu unaishije nae?

Mwanaume kama huyu unaishije nae?

Mfano mwanaume ni muongeaji sana pia mjuaji kila kitu ana kijua yeye…

Pia hakutafuti mpaka akiwa na shida zake yaani ana tumia udhaifu wako nisaidieni kujua
ulitaka uwe mjuaji wewe
 
Mfano mwanaume ni muongeaji sana pia mjuaji kila kitu ana kijua yeye…

Pia hakutafuti mpaka akiwa na shida zake yaani ana tumia udhaifu wako nisaidieni kujua
Mambo ya Ngwose muachie mwenyewe mwanangu.
 
Back
Top Bottom