Ama nikupe akili fulaniSawa
Mfano mwanaume ni muongeaji sana pia mjuaji kila kitu ana kijua yeye…
Pia hakutafuti mpaka akiwa na shida zake yaani ana tumia udhaifu wako nisaidieni kujua
Seriously kabisaaaa Yan, kwanini ujitese wakati nipo kimvulini hapa? Watu wa hivyo piga chiniMakubwa haya jmn
Shida zake zipiPia hakutafuti mpaka akiwa na shida zake
Umeukonga moyo wangu wenye vidonda? Uhakika usiku wa Leo ni mrefu karibu uje udekezweeee kwakweliiiiSiwezi kuishi pasipo uwepo wako 🥰
Njoo in box babyMh jaman!!
Hee nimeoa wapi?Mqmbo yqko hujamboo nasikia umeoa tena hongera
Pumbavu zako sasa kama unajua Hilo Sisi unataka tukushauri niniNi ngumu
Njoo nikupe ushauri mchumbaToka zako 😂
taratibu mwanaume anastage zake usiwe na haraka na pesa zake hapo hatakuwa na attention naweweNa wewe ndio copy yake
Tena kuwa mpole mtiifu kwa mwanaume wako ila km unataka kuwa single mother endelea na huo ujuaji wakoMh sawa