Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,441
- 4,093
usisahau kuleta mrejesho
Tatizo la dada zetu ndio ilo wameelekezea matumaini yakutokea kimaisha kwa wanaume badala ya kuona watokaje wenyewe, yani mkiambiwa ata mshare bill tu wamesha kudisqualify nchi za wenzetu ni mambo ya 50/50 vingine ni huruma tu.
Yani kweli mitazamo iko tafauti mwanaume akiwa anasubiri deal moja apige au fursa ya kutokea wenzetu wanasubiri atokezee mtu amtoe kimaisha.
Wwe huyo Mwanaume aliyekuchukua atakua kala hasara,mpe pole sana!!Mwanamke kuwa vyote hivo lkn still hamtaki challenges yaani mnataka hata mkimwambia kitu ambacho anaona si sawa akubali tu? Unajua vitu vingine sio submissive unakuwa ulimbukeni.
Huyo mwanamke unaemtaka wewe utampata iwapo anakutegemea ww kwa kila kitu?lakini kama tunajishirikisha wote kusukuma gurudumu la maisha lazima mwanamke awe na sauti na pande zote kuwe na usikivu!
I am sorry to say that.
Sijakosa mwanaume my dear i am taken already
Ndivyo akili zao walivyozielekeza mkuu,yaani wanajihisi hawawajibiki kwa lolote ktk maisha yao ya mahusiano,yeye anaona haki yake ni kukutanisha vikojoleo tu na mwenzake ila maendeleo yoyote si suala lake,ni la mwenzake,hiki ndicho kinachotofautisha baadhi wanawake wengi wa kibongo na wa nchi zinazojitambua,masikini hata akili yake imekaa kiutegemezi tegemezi tuTatizo la dada zetu ndio ilo wameelekezea matumaini yakutokea kimaisha kwa wanaume badala ya kuona watokaje wenyewe, yani mkiambiwa ata mshare bill tu wamesha kudisqualify nchi za wenzetu ni mambo ya 50/50 vingine ni huruma tu.
Yani kweli mitazamo iko tafauti mwanaume akiwa anasubiri deal moja apige au fursa ya kutokea wenzetu wanasubiri atokezee mtu amtoe kimaisha.
Malizia ww !!!Kama mbali na mwanamke ambaye ameshawahi kuolewa kwa namna yoyote
Kaa mbali na mwanamke mwenye mtoto hata kama mtoto amekufa
Kaa mbali na mwanamke ambaye kwao ni fukara kupitiliza
Kaa mbali na mwanamke ana mipango kuliko mipango mwenyewe
Kaa mbali na mwanamke aliyeachwa na mwanaume mwenzako hata akikuambia kuwa mwanaume yule alikuwa hivi alikuwa vile
Kaa mbali na mwanamke ambaye ...
Apa ndio huwa nabak nikikuoneshea nilipolelewa huwez amin very poor hous3 choo chq kushareTrust me we hata ukiwa mchonga vinyago unaweza kuwa na 100% ya kumuoa binti wa kizungu tena ambaye kwao ni matajiri wa kutisha.
Ila ukija huku kwetu kama huna kazi ya kuajiriwa serikalini au ofisi kubwa ni ngumu sana kuaminika hata kwa wazee!
Watoto wa kike wamelelewa katika mazingira ambayo kama mwanaume akiwa hana hela za kufuru basi huyo hafai!
Km tako analo nipe namba ykeKuna mmoja yeye anawaza kuolewa tu ili apate wa kumlisha. Kujituma hataki