Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
mi sipendi maumivu.
NN na Husn,shusheni mzuka,mtatusababishia mhemuko!
mi sipendi maumivu.
Unapenda nini sasa?
NN na Husn,shusheni mzuka,mtatusababishia mhemuko!
mihemko ya nini watu tunajadili vipigo hapa.
Mshushie kipigo huyo Bishanga wa abashaija
Nilivyodundwa na mama Kayai nikatangaza hazarani wengi hamkuamini,mnaona sasa? Kinababa amkeni tuchukue hatua hawa kinamama watatumaliza aisee.
Nilivyodundwa na mama Kayai nikatangaza hazarani wengi hamkuamini,mnaona sasa? Kinababa amkeni tuchukue hatua hawa kinamama watatumaliza aisee.
Mnaongea kimahaba.mihemko ya nini watu tunajadili vipigo hapa.
Husn ana ubavu wa kupiga mtu?Mshushie kipigo huyo Bishanga wa abashaija
Husn ana ubavu wa kupiga mtu?
alinipiga ngwala,nikaanguka akanikandamiza hapo hapo,kidogo antoe roho,chezea mama kayaiii wewe.sipati picha na huo mkitambi wako wakati unadundwa sijui ulikuwa unauficha wapi.
Sio bure kuna mkono wa mtu!!!!!