TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,791
- 2,078
[h=2]
[/h]
Jamaa kachelewa kurudi nyumbani na kodi ya meza hakuacha asubuhi mama akaamua kujichukulia sheria mkononi kwa kumshushia kipigo kama vile anamwadhibu mwanae. Jamaa hakufua dafu na wala hakurusha hata ngumi zaidi ya kujikinga na fito zilizo kuwa zikumshukia mithiri ya mvua ya mawe. Sasa wanawake wote wakiamua kujichukulia sheria mkononi nyumba zetu zitakuwa na amani kweli?
[/h]
Jamaa kachelewa kurudi nyumbani na kodi ya meza hakuacha asubuhi mama akaamua kujichukulia sheria mkononi kwa kumshushia kipigo kama vile anamwadhibu mwanae. Jamaa hakufua dafu na wala hakurusha hata ngumi zaidi ya kujikinga na fito zilizo kuwa zikumshukia mithiri ya mvua ya mawe. Sasa wanawake wote wakiamua kujichukulia sheria mkononi nyumba zetu zitakuwa na amani kweli?