Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,154
kama kuna mwanaume anajifanyaga sharobaro mtaani mdada jikaze umtokee yaan atageuka domo zege na mwoga.Nilishajaribu hii pindi napokuwa nataka kukwepa usumbufu wa hawa jamaa kona flani flani.
NB:hakikisha unamchania kihiphop yaan mwenyewe atazima hata kama kuna jua.
Najaribu kufanya mazoezi ya kuchana kihip hop.