Wanakuja mkuu.
Lakn mbona jina lako lina fanana na ACACIA?
teh teh teh....Nipite kushoto? Kwani nimekosea kukuuliza hivyo?
Waooooo. Am 30yrs old.naitwa Aicca icca, mimi ni msichana wa miaka 24 soon 25,natafuta mwanaume badae awe mchumba na mme,nature ya kazi inanifanya niwe mbali kidogo na kuendana na ulimwengu unavoenda,
mimi ni mkristo nahitaji mwanaume mkristo umri kuanzia 27-31.mwenye upendo wa kweli mwenye hofu ya Mungu pia.
mind you:sio kila mwanamke anaetoa uzi apa anakua ajielewi wengne tupo seriuos sana,kwa alie serious tu karibu pm.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app
naitwa Aicca icca, mimi ni msichana wa miaka 24 soon 25,natafuta mwanaume badae awe mchumba na mme,nature ya kazi inanifanya niwe mbali kidogo na kuendana na ulimwengu unavoenda,
mimi ni mkristo nahitaji mwanaume mkristo umri kuanzia 27-31.mwenye upendo wa kweli mwenye hofu ya Mungu pia.
mind you:sio kila mwanamke anaetoa uzi apa anakua ajielewi wengne tupo seriuos sana,kwa alie serious tu karibu pm.
Ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app
Ama kwel dunia hii ina vituko sana....Wanakuja mkuu.
Lakn mbona jina lako lina fanana na ACACIA?
Kawaida tu Mkuu samahani kwa kukuchekesha bossAma kwel dunia hii ina vituko sana....
Mimi hapa nakuja pm kwa nguvu ya 4gnaitwa Aicca icca, mimi ni msichana wa miaka 24 soon 25,natafuta mwanaume badae awe mchumba na mme,nature ya kazi inanifanya niwe mbali kidogo na kuendana na ulimwengu unavoenda,
mimi ni mkristo nahitaji mwanaume mkristo umri kuanzia 27-31.mwenye upendo wa kweli mwenye hofu ya Mungu pia.
mind you:sio kila mwanamke anaetoa uzi apa anakua ajielewi wengne tupo seriuos sana,kwa alie serious tu karibu pm.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uboya ww unaanzaje kuanika namba yako hadharani? Dunia imebadilika saiv be carefull
We fala kweli nimeweka namba yako. Acha kuwashwa makalioAcha uboya ww unaanzaje kuanika namba yako hadharani? Dunia imebadilika saiv be carefull